Recent content by Manoni great Jr

  1. M

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Mh!! Kwa ushauri kama huu kwakwel nchi yetu itabaki kuwa TANZAGIZA milele na milele. Yan drama alioianzisha mkuu wa mkoa isiyokuwa na ushahid wowote leo hii ndio itumike kumuonea huruma yeye? Just imagine ww ndio mtoto wa MANJI halafu baba ako katajwa na akakutwa hauzi wala hajihusishi na...
  2. M

    Wema Sepetu nakupenda sana na huu ndio ushauri wangu

    Katiba inamruhusu kufanya hvo, so she is right naww uctumie haki yake kisheria kumkosoa. Yule n mtu mzma
  3. M

    Prof Ndalichako nae ajihadhari na kauli zake

    Pongez kwako mkuu. Unajua psychologically mtu kama hajawah kuumizwa na mapenz tangu abarehe nasahv anamiaka 40 huyo hawez kukupa pole ukimpelekea maumivu yako atakucheka sn
  4. M

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Hongera yako we pga kaz ila uombe uzma tu wawazaz wako waspatwe na majanga halaf uambiwe hii kijan yote unaomba msaada
  5. M

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Nahayo maneno ya kuvunja kamati kwan had atoe raisi? Kamati haina m/kit haina katb au, watz ck tukiamka naamn wazung tutawapga gap sana bt now we are still bellow the sea level
  6. M

    Kwa Rais Magufuli tu - Must Read 2017

    Aseeee cna cha kukupa lkn nakuombea kwa Mungu tu uzd kuwa na hekima hii zaid na zaid
  7. M

    Serikali ipi duniani imeomba rambirambi kujenga miundombinu?

    Hahahaaaaaaaaa ukiona watu wanapga makofi kwa kauli ka hyo ujue bado tuko chin sn kiuelewa. Na kuiondoa ccm ni ngumu sn kwan 60% of Tanzanians hawana uelewa
  8. M

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Bajet ya serkal ipo kwa ajir ya kurenew miundombinu yake. Lkn misaada ya wahisan kwaajir ya kuwasaidia waathrika imeenda wapi? Fikir kabla ya kutenda. Na ndio maana mfiwa huwa tunampa pole japokuwa tunajuwa kbs kifo ni lazma. Wafariji wajanga kwa maneno hata kama huna kitu na co kuwa kuwatukana...
  9. M

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Ipo ck yatamkuta bibi yako na babu yako au wazaz wako huko kjjn halaf ww mda huo huna kaz ndio utajua nn maana ya misaada ya serkal kwa wananch wake
Back
Top Bottom