Kuna jamaa ni daktari aliwahi niambia mwilini kuna bakteria wazuri na wabaya, vichaa na machizi huwa hawapigi mswaki hivyo mdomoni mwao huzaliwa bakteria wazuri kwa wingi ambao hupambana na bakteria wabaya pale anapokula vyakula vya majalalani hivyo ni nadra kumuona chizi/kichaa akiugua kutokana...
Ninachojua mimi kazi ya mwanasheria unapomuita katika mauziano ya vitu ni
1. Kufanya tafiti na kujua uhalali wa kumiliki na uhalali wa kuuza wa eneo au nyumba husika.
2. Kuandaa nyaraka za mauziano kisheria.
Nionavyo hapo wakili hakufanya kazi yake na ikibidi mfungulie kesi mahakamani ili...
Jukwaa limeingiliwa na dhima potofu na ya kitapeli, dhumuni halisi la kuanzisha hii thread ilikuwa ni kudiscuss mikeka. Hizo habali za kununua odds eti fixed games tutalizwa. Lets tuendelee kuganga kibishi kuliko kutapeliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.