Recent content by MANKWI G

  1. M

    Wimbo upi? Kumbukumbu ipi?

    wimbo wa kassimu mganga-awena huwa nakumbuka kipindi niko o'level nikimsihi mpenz wangu(mke kwa sasa) kuwa huu wimbo kamwe usituhusu sisi.
  2. M

    Mpenzi wangu analazimishwa kuolewa na mwanamme mwingine wakati bado sisi tunapendana

    nilikuwa napita tu nikapata cha kuuliza, una muda gani tangu ujue kuongea na kuandika kwa lugha ya kiswahili? uandishi wako ndo umenipa kuuliza sorry!
  3. M

    Upepo wageuka tena, Juma Duni Haji kuwa Mgombea Mwenza wa Lowassa

    kama hizi taarifa ni kweli hili fis.adi lina mkwanja wa kutosha, hivo tulipen urais maana hakuna wizi hapo tena mihela ipo yakutosha tu.
  4. M

    Ukweli kuhusu Dr. Slaa

  5. M

    Kwa mlio kwenye ndoa na wengine karibuni

    a very good posted idea. kula like ya nguvu mkuu!
  6. M

    Kwa waliotayari kuoa/kuolewa na wale walioingia humo tayari

    jaman mbona mi niko ndoan mwaka wa6 then life linaenda vizuri na familia yangu. but what you wrote kinafurahisha na kuna uharisia fulani hivi.
  7. M

    Nimepima mara tatu UKIMWI

    maelezo yako yanalenga nini wewe?
  8. M

    Mapenzi: Twende dear

    ndo nini sasa? kwa hili inaonesha wanawake ni matatizo kwa waume zao. kaz ipo!
  9. M

    Napoteza ndoa yangu, kisa nimemwambia nilishawahi kutoa mimba kabla ya kuwa nae

    eti kwa waganga? amelaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu.
  10. M

    Hodi naomba mnipokee

    mchemshien na chai maana bado asubuh afungue kinywa
  11. M

    Je, Kuna ulazima mke kumpa mme maji ya kuoga?

    Wanajamvi poleni na majukumu, Jambo hili lilinipa utata baada ya kuona mji fulani mme na mke wanagombana kisa mke jana hakumpa mme wake maji ya kuoga. Swali langu, Je kuna ulazma mke ampe maji ya kuoga mme wake?
  12. M

    Nataka nichukue uamuzi wa kuachana na huyu mwanaume, naombeni ushauri

    achana naye asikusumbue akili, mungu atakupa aliye mwema kwako na mkatimiziana mahitaji ya familia.
  13. M

    walimu wa msingi mlio magu msipitwe uhondo

    kwanza kabisa heshema kwenu. kama mada ilivo uhondo uko hivi: kwa aliyetayari usafiri bure, ada ya nyumba miez sita na ofa zngne kwa aliyetayari kubadili kituo cha kaz mi nije magu yeye aje sengerema. contact 0765195529/0789333382
  14. M

    Nimeona ajabu kwa mke wangu

    mkuu nitaongea nae nione mambo yatakavokua
Back
Top Bottom