Habari za mchana,
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nilianza kuishi na huyu baba baada ya kupata uja uzito. Nilikua kwenye mahusiano ya uchumba kwa miaka 3 na mtoto kwa sasa ana 2 years, ila bado hatujafunga ndoa, sisi sote ni waajiriwa na tunalala kitanda kimoja. Tatizo ni kuwa mume yeye anafanya tendo la ndoa pale anapojisikia yeye na kwa mwezi na mara 3 au 4 nayo ni ya kusua sua yaani dk3 kashamwaga na hawezi tena kwenda round ya pili, halafu mimi nikiwa nahitaji sipewi.
Nikimuuliza shida ni nini anasema hana shida ila tu hana feelings na wala hana hamu. Pia anasema mimi siko romantic. miezi michache iliyopita nikuta message za Fb za kutongoza akichati na mdada mmoja na kuna housgirl aliondoka kwa kusema kuwa mume wangu anamtaka. Sasa jamani mimi nimeongea nae anasema uamuzi ni wangu nikiamua niondoke na nikiamua nibaki na kama siridhiki nitafute wa kuniridhisha. Sio kwamba nimechokwa au maana sina mchepuko na sijawai kumsaliti ila kwa sasa najihisi tu niachane nae niondoke tu.
Nisaidieni wadau
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nilianza kuishi na huyu baba baada ya kupata uja uzito. Nilikua kwenye mahusiano ya uchumba kwa miaka 3 na mtoto kwa sasa ana 2 years, ila bado hatujafunga ndoa, sisi sote ni waajiriwa na tunalala kitanda kimoja. Tatizo ni kuwa mume yeye anafanya tendo la ndoa pale anapojisikia yeye na kwa mwezi na mara 3 au 4 nayo ni ya kusua sua yaani dk3 kashamwaga na hawezi tena kwenda round ya pili, halafu mimi nikiwa nahitaji sipewi.
Nikimuuliza shida ni nini anasema hana shida ila tu hana feelings na wala hana hamu. Pia anasema mimi siko romantic. miezi michache iliyopita nikuta message za Fb za kutongoza akichati na mdada mmoja na kuna housgirl aliondoka kwa kusema kuwa mume wangu anamtaka. Sasa jamani mimi nimeongea nae anasema uamuzi ni wangu nikiamua niondoke na nikiamua nibaki na kama siridhiki nitafute wa kuniridhisha. Sio kwamba nimechokwa au maana sina mchepuko na sijawai kumsaliti ila kwa sasa najihisi tu niachane nae niondoke tu.
Nisaidieni wadau