Ukweli kuhusu Dr. Slaa

Ukweli kuhusu Dr. Slaa

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, mzee Yusuph Makamba, aliwahi kusema haya, 'pale CHADEMA hakuna msafi hata mmoja, ukipenyeza rupia wote watachukua isipokuwa mzee wao yule Dr. Slaa.'

Hata na hivyo, Samwel Sitta alishawahi kusema 'hakuna mwenye sifa ya urais pale isipokuwa Dr. Slaa..'

My take:
Haya leo yametimia, Mbowe kapiga mihela kawapa chenji kina Lissu na wengineo kuwafunga midomo. Kaamua kukubali mgombea kutoka nje as if hakuna mwenye sifa ya urais CHADEMA. Kweli money talks.

Halafu alikuwa anakutafuta akupe na wewe share yako:what: ( KAMA WAGOMBEA WOTE 38 WALIKUWA NA SIFA SAWA, HAPO MNAANGALIA NANI ANAKUBALIKA NA WANANCHI, MSIMCHAGUE MTU KWA DINI YAKE, KABILA LAKE, AU UKANDA, NA MTU ASIPOPATA NAFASI CCM ATATAFUTA NJE YA CCM,..... MSIJE MKALIA MKAKOSA MTU WA KUWAFUTA MACHOZI..!! ni dhahiri mtalia na kujuta ni kama tulipokuwa tunaishangilia t/stars maboresho ya mholanzi m. nooj tuliumia sana, sasa kachukua Master Mkwassa, tumeona uganda sasa tunajiamini, Wacheni na Ukawa tuchukue nchi kupitia kwa Lowassa..!!
 
Slaa ana conflict of interest kwenye maamuzi yake ya ama kumpokea au kutompokea Lowasa chadema, kwakuwa Slaa anataka yeye awe ndo mgombea urais

Hoja dhaifu sana mkuu ungekuja na nondo ya maana tuchangie tufungue macho as in how Slaa ana conflict of interest au wanaosema kinyume waje na analytical posts mtufungue macho misitake kutulisha mnayoyatengeneza kwa akili zenu bila uchambuzi bado nakumbuka Zitto alivyofanyiwa akiwa safarini Juba na kamati ya kudumu ya bunge.

Hichi kinachotekea sasa hivi ni malipo kwa waliomfanyia ZZK siasa ni zaidi ya mnavyoijua ila tuache mipasho tulete hoja jadidi hizi za majungu hazijengi
 
wazo la el kujisafisha naliunga mkono. lkn km kweli anakipenda chama na taifa y ajitoe???? kuna ubaya gan el akigombea? as long as hata yy alitoka ccm na akapewa nafac agombee. ooooh siasa. upuuuz mtupu..... nampenda sla bt kura yangu kwa ukawa ipo palepale. wananch tushakubaliana na hiyo hali viongoz msituvuruge. i wish slaa angekua mgombea mwenza.

Ndugu umeongea point WHY AJITOE?
Binafsi ningependa kumuona kama na yy ana compete na EL ndani ya chama kuliko kususa
Anyway still i need changes and Good changes

Mungu atupe hekima hiyo ya kupiga kura kwa Hekima zake tupate viongoz bora:crying:
 
Slaa ana conflict of interest kwenye maamuzi yake ya ama kumpokea au kutompokea Lowasa chadema, kwakuwa Slaa anataka yeye awe ndo mgombea urais

Hoja dhaifu sana mkuu ungekuja na nondo ya maana tuchangie tufungue macho as in how Slaa ana conflict of interest au wanaosema kinyume waje na analytical posts mtufungue macho misitake kutulisha mnayoyatengeneza kwa akili zenu bila uchambuzi bado nakumbuka Zitto alivyofanyiwa akiwa safarini Juba na kamati ya kudumu ya bunge.

Hichi kinachotekea sasa hivi ni malipo kwa waliomfanyia ZZK siasa ni zaidi ya mnavyoijua ila tuache mipasho tulete hoja jadidi hizi za majungu hazijengi
 

Taharuki imetanda juu ya wapi alipo Katibu mkuu wa Chadema Dr.Wilbroad Slaa. kila mtu anazungumza lake kwa kadri anavyoelewa. wengine wakisema yupo kwenye maandalizi ya vikao vya kamati kuu na wengine wakisema amejificha kwa sababu hakubaliani na maamuzi ya kumleta EL kwenye chama.

Mimi kama kada wa chadema wa muda mrefu na mwanasheria mzoefu nimefanya utafiti na nimejiridhisha bila shaka yoyote kuwa hali si shwari ndani ya chadema licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa kuonesha kuwa hakuna tatizo.

Ukweli ni upi? Ukweli ni kuwa Dr.Wilbroad Slaa hakubaliani na maamuzi yaliyofanywa na kamati kuu ya Kumleta EL na kumpa nafasi ya kugombea Urais bila kufanya utafiti wa kutosha. Slaa anadai kuwa maamuzi haya ni ya haraka mno na chama kilitakiwa kijitafakari zaidi kabla ya kumpa ridhaa ya kugombea Urais.

Ikumbukwe siku ya jumapili tar.26 wakati UKAWA wamefanya kikao cha mwisho na EL Dr.Slaa alikuwepo na baada ya hapo akapotea kabisa na hajaonekana hadharani hadi leo.


Ukweli ni kwamba ndani ya kikao kile chs jumapili Slaa alionesha msimamo wake juu ya EL na kudai kuwa watanzania hawatatuelewa wakituona tukipita kumsafisha mtu yuleyule tuliyemchafua awali.

Hivyo Slaa akatoa masharti mawili makubwa. La kwanza ni EL aitishe Press na ajisafishe mwenyewe kabla hajatangaza kuja UKAWA. Aruhusu waandishi wamuulize maswali yote kuhusu Richmond na kashfa nyingine ikiwemo umiliki wa jengo la Ubalozi wa S.Africa na EL ajibu hoja zote kwa maelezo ya kueleweka. Sharti la pili la Slaa ni kuwa EL asupewe nafasi ya kugombea urais kwa sasa kwani ni ngumu kupima dhamir yake kama ni ya kweli. Slaa akapendekeza EL aje CHADEMA na aisaidie UKAWA kuchukua dola bila kugombea Urais.

Lakini Mbowe akampinga sana Slaa na akasema Katibu mkuu hawezi kuweka "ultimutum" ya EL kujiunga na chadema. Mbowe akapuuza mawazo ya Slaa na akaagiza mchakato wa kumpokea uanze mara moja na kesho yake Mbatia akaambiwa atoe tamko la kumkaribisha EL UKAWA.

Hali hii ilimfanya Slaa kujihisi mnyonge na aliyepuuzwa. akahisi hathaminiki ndani ya chama licha ya mchango mkubwa alioutoa kukijenga chadema. jambo la ajabu Mbowe alipopelekewa taarifa hizo alijibu kwa kejeli kuwa liwalo na liwe. yani yuko tayari kumpoteza Slaa na kumkumbatia EL.

Haikujulikana wazi Mbowe ana maslahi gani katika hili la EL na kwanini aamue kuwa na msimamo mkali hivyo wa kumtetea EL.

Inadaiwa tangu jumapili Slaa alipoachana na viongozi wenzie wa UKAWA hadi sasa yupo ndani hajatoka na hakuna mgeni anayeruhusiwa kumuona. Anautumia muda huu kusali na kushauriana na marafiki zake kwa njia ya simu (wengi ni maaskofu) juu ya nini afanye katika kipindi hiki.

Wengi wamemshauri aachane na siasa na ajiuzulu nafasi yake ya SG ndani ya chadema wazo ambalo limeungwa mkono na mkewe Josephine na baadhi ya watu wenye misimamo mikali.

Baada ya ushauri huu mkewe wa Slaa ameonekana kufurahia na ameanza kuelezea kwenye mitandao ya kijamii. Jsna kupitia kundi la Nyakahoja la whatsapp Josephine alisema mumewe ameteseka sana na chama hiki na amekitoa mbali sana. Dr.Slaa alivunjika mkono na hadi sasa ana ulemavu wa kudumu kwa sababu ya kuitetea chadema. yeye mwenyewe alipigwa na kuharibiwa mimba mwaka 2011 kwa sababu ya chadema halafu leo wanapuuzwa kama vile si chochote ndani ya chama.

Anasema ni afadhali Mbowe angesikiliza ushauri wa Slaa wa EL kujisafisha kwanza kabla hajaja chadema maana kuja bila kujisafisha ni kuwaweka viongozi wote wa chadema kwenye mtego.

Madai ya Mbowe kupewa fedha na EL. Yapo madai kuwa Mbowe amehongwa sh. bil 12 ili kumpokea EL. Fedha hizi ameziweka kwenye akaunti yake binafsi na amewawia kidogo wale aliowaona wanaweza kumchallenge. baadhi ya watu waliopata mgao ni wajumbe wa kamati kuu ili kuwaziba mdomo. na si wajumbe wote bali wale wachache viherehere. baadhi yao ni Godbless Lema (anadaiwa kupokea milioni 120), Peter Msigwa (mil 135), Tundu Lissu (mil 180), Salum Mwalimu (Mil 180).

Pesa hizi ndizo zinazodaiwa kuwafumba macho kamati kuu na kuamua kumpitisha EL bila kufikiri mara mbili. Kitu cha ajabu kamati kuu imefunga dirisha la kuchukua fomu na kusema eti kamati kuu inamuunga mkono Lowassa tu.

Huu ni ujinga ambao hata CCM haiwezi kuufanya. Kamati kuu inatakiwa kuwa neutral. kamati kuu haitakiwi kuwa na mgombea. kamati kuu haitakiwi kuzuia watu kuchuku fomu. acha wachukue wengi kadri iwezekanavyo halafu wachujwe abaki mmoja.

Kama EL anajiamini yeye ni bora zaidi na ana nguvu zaidi kwanini anaitumia kamati kuu kuzuia watu wasichukue fomu? Siku chache zilizopita watu walilalamikia kamati kuu ya CCM kuwa ilikua na mgombea wake mbona hawaoni hili la kamati kuu ya chadema?

Ikiwa madai haya ya kuhongwa kamati kuu ni ya kweli basi chadema inaelekea ukingoni katika siasa za nchi hii. jambo la ajabu viongozi wanaodaiwa kuhongwa akiwemo Mbowe hawajakanusha habari hizi. halafu wanatuma ujumbe kw Slaa eti wakamsihi asiondoke. wajumbe wote waliotumwa wakaishia getini na hawakufunguliwa mlango. mlitegemea mfunguliwe mlango wakati kuna madai mmehongwa na hamjakanusha? kanusheni kwanza ndio muende kumuona Slaa. Au mnataka mkamhonge na yeye? Kama msipokanusha habari hizo mkienda mtafungiwa tena nje maana nyumbani kwa Slaa hakitaingia chochote kilicho kichafu.

Response ya Chadema. ni kama vile hawajali yanayoendelea. na bahati mbaya zaidi vijana wa chadema wameanzisha movement ya kumtukana Josephine kuwa yeye ndio anamponza mumewe. kwenye mtandao wa jamiiforums, facebook ma magroup ya whatsapp wanamtukana sana.

kwenye group moja la wabunge wa chadema wameanzisha movement iitwayo "Josephine Bring Back our Dr". wengine wanamwita mwanamke mpumbavu, wengine wanasema ana hasira ya kukosa ufirst lady, lakini wengine wamefika mbali na kudai anatumiwa na TISS na CCM.

Kimsingi madai yote hapo juu hayana mashiko. Josephine hatumiwi na TISS wala CCM. Hana uchungu wa kukosa ufirst lady wala nini. anachofanya ni kutetea haki ya mumewe. haki ya kuthaminiwa, haki ya kuheshimiwa, haki ya kutoa mawazo yake na kusikilizwa.

Hivi mumeo anapuuzwa kwenye vikao vikubwa vya maamuzi halafu unaambiwa waliompuuza wamehongwa fedha na hawajakanusha habari hizo, halafu ukimtetea mumeo unaambiwa unatumika na TISS. this is ridiculous.

Hakuna cha TISS wala CCM mchawi wa chadema ni chadema wenyewe na mchawi wa ukawa ni chadema. Hizi porojo za TISS ni mbinu inayotumika ili Slaa akiamua kutangaza msimamo wake ionekane anatumiwa na CCM. Chadema acheni siasa za kitoto. hivi Slaa aliyepigania chadema zaidi ya miaka 20 akitoa sadaka maisha yake kwenu ndio wa kutumika na TISS leo aache kutumika huyo EL aliyekuja jana? this is very interesting. chadema kitaingia katika rekodi za dunia za kuwa chama cha kwanza kumtilia shaka mwanachama wake wa miaka 20 na kumuamini mwanachama wa siku moja.

Nini kifanyike? Jambo linaloweza kufanyika na kusaidia kuiokoa chadema na UKAWA kwa ujumla ni mediation. zitafutwe mbinu nzuri za kukutana na Slaa na kuongea nae. aeleze yanayomhusu na chama kioneshe concern ya kuyatatua.

pia kwa kuwa Josephine anaonekana kuwa na nguvu kubwa sana kwa Slaa hivi sasa ni bora Watafutwe wanawake wenye heshima ndani ya chama wakaongee nae. kwa mfano Mama Regina Lowassa, mama Ntagazwa na mama Mbatia waende kumuona mwanamke mwenzao waongee nae. hii itasaidia kupunguza hasira za huyu mama maana tangu juzi anatukanwa mitandaoni akidaiwa ndiye anayemzuia Slaa.

Ni vizuri mambo haya yafanyike mapema maana taarifa zilizopo ni kuwa kufikia wiki ijayo kama chama kitakua hakijatoa msimamo kuhusu Slaa basi yeye atatangaza msimamo wake wa kujiuzulu wadhifa wake chadema na kuamua kuachana na siasa kabisa. kisa wataondoka nchini yeye na familia yake kwenda Italia ambapo ataishi huko kwa miaka mitano kabla ya kurudi nchini na kumalizia maisha yake Karatu. mipango ya Slaa kwenda kuishi Italia kwa miaka mitano inaratibiwa na shirika mija la kiroho la kanisa katoliki na maandalizi yanaendelea vizuri.

Hivyo basi ni vema kazi hii ikafanywa mapema na kwa umakini ili tusivuruge kazi yote ya kuijenga Ukawa na kuujenga upinzani nchini. ukweli ni kuwa Slaa akiamua kujiuzulu siasa za upinzani zitapoteza uelekeo na tutashindwa vibaya kwenye uchaguzi mkuu kuanzia udiwani, ubunge hata urais. maana yake ni kuwa kazi yote iliyofanyika kuujenga upinzani inabomolewa siku moja na kuifanya CCM izidi kushamiri. na ikiwa Slaa ataondoka itachukua miska zaidi ya 100 kupata upinzani mwingine wenye nguvu kama huu. hivyo basi juhudi za haraka zinatakiwa.

Mwandishi wa makala haya ni ndugu A.N Chilongola, mwanachama wa chadema na mkurugenzi wa kampuni ya uwakili ya Chilongola &Advocates iliyopo Mabibo
Dar.anchilongola@gmail.com

Chilongola umeshindwa kulongola kabisa. Eti unajiita mwanasheria? Si kweli! Mwanasheria huwa haandiki hoja dhaifu kama hizi. Mfano unaposema Dr Slaa yumo ndani kwake hajatoka toka jumapili na wala hakuna mtu yeyote aliyeruhusiwa kuingia nyumbani kwake je wewe mwandishi umejuaje ushauri aliopewa wa kujiuzulu umefurahiwa na mkewe, nani amekupatia hizi habari? Na habari za EL kumhonga Mbowe Billioni 12 wewe umezipata wapi? Nk nk nk kuonesha kwamba Ndugu Chilongola ni mwanasheria dhaifu na sijui mahakamani huwa anawateteaje wateja naana kama uandishi wenyewe ndio wa dizaini hii sijui submission huwa anaziandikaje.........
 
Nimeamua kuandika hii madafupi huku niki declare msimamo wangu kuwa niko upande wa wana mageuzi (UKAWA)

Ni ukweli kuwa, mtu yeyoteanayewekeza kwenye kilimo, huanza kwa kuchagua ardhi na mara nyingi ardhi hizihuwa ni mapori.

Kwa hiyo anawekeza kwa kufyeka na kutoa visiki vyote. Mara nyingihumchukua muda kama miaka kabla shamba hilo halijawa tayari kulimwa na kupatamavuno. Dr Slaa, ametumia muda wake mwingi wakati akiwa na nguvu kuimarishaupinzani. Hapa upinzani ndani ya UKAWA umefikia hatua ya mavuno. Tena makubwa.Ni wakati wa kufuta jasho na kusimama kidedea baada ya kuing'oa CCM.Sasa kwa nini, hawezi kuhama. Sababu ni hizihapa.


  1. Sasa ni pay time. Ni wakati wakuvuna kilealichokihangaikia kwa takribani miaka 20. (Correct option)
  2. Hawezi kuondoka na kujiunga na CCM. Sababu kama ni kigezocha kuchukia UFISADI, CCM ndiko makazi yake. Ni bora kubaki na Lowassa ambayeamekuwa nje ya serikali kwa miaka karibu nane, huku Ufisadi huko CCM umeendeleakutamalaki. (Wrong option)
  3. Option ya kujiunga ACT ni kama kurudi tena porini nakuanza kufyeka msitu ili kutengeneza shamba jingine. Well, inaweza kuwa wazozuri. Lakini, sidhani kama yuko tayari kungojea tena miaka 20 ijayo. (wrongoption)
Dr hawezi kufanya kosa hilo.Na kama ana mpango huo, basi anataka kuingia kwenye historia kama ya kina MremaLyatonga.
Nawakilisha


 
hivi huyu jamaa akikubali na tukishinda urais akapata zake uwaziri mkuu anaona hatafaidika? slaa slaaa jamani
 
Nimeamua kuandika hii madafupi huku niki declare msimamo wangu kuwa niko upande wa wana mageuzi (UKAWA)

Ni ukweli kuwa, mtu yeyoteanayewekeza kwenye kilimo, huanza kwa kuchagua ardhi na mara nyingi ardhi hizihuwa ni mapori. Kwa hiyo anawekeza kwa kufyeka na kutoa visiki vyote. Mara nyingihumchukua muda kama miaka kabla shamba hilo halijawa tayari kulimwa na kupatamavuno. Dr Slaa, ametumia muda wake mwingi wakati akiwa na nguvu kuimarishaupinzani. Hapa upinzani ndani ya UKAWA umefikia hatua ya mavuno. Tena makubwa.Ni wakati wa kufuta jasho na kusimama kidedea baada ya kuing’oa CCM.Sasa kwa nini, hawezi kuhama. Sababu ni hizihapa.


  1. Sasa ni pay time. Ni wakati wakuvuna kilealichokihangaikia kwa takribani miaka 20. (Correct option)
  2. Hawezi kuondoka na kujiunga na CCM. Sababu kama ni kigezocha kuchukia UFISADI, CCM ndiko makazi yake. Ni bora kubaki na Lowassa ambayeamekuwa nje ya serikali kwa miaka karibu nane, huku Ufisadi huko CCM umeendeleakutamalaki. (Wrong option)
  3. Option ya kujiunga ACT ni kama kurudi tena porini nakuanza kufyeka msitu ili kutengeneza shamba jingine. Well, inaweza kuwa wazozuri. Lakini, sidhani kama yuko tayari kungojea tena miaka 20 ijayo. (wrongoption)
Dr hawezi kufanya kosa hilo.Na kama ana mpango huo, basi anataka kuingia kwenye historia kama ya kina MremaLyatonga.
Nawakilisha

Nadhani kinachomsikitisha Dr ni kukosa nafasi ya kugombea urais. Pamoja na kuwa alishiriki mijadala ya kumhalalisha EL na kufikia muafaka lakini dhamira yake ya kugombea urais bado inamfurukuta. Tumuache apumzike, atakuja na majibu na maamuzi sahihi.
 
Nimeamua kuandika hii madafupi huku niki declare msimamo wangu kuwa niko upande wa wana mageuzi (UKAWA)

Ni ukweli kuwa, mtu yeyoteanayewekeza kwenye kilimo, huanza kwa kuchagua ardhi na mara nyingi ardhi hizihuwa ni mapori. Kwa hiyo anawekeza kwa kufyeka na kutoa visiki vyote. Mara nyingihumchukua muda kama miaka kabla shamba hilo halijawa tayari kulimwa na kupatamavuno. Dr Slaa, ametumia muda wake mwingi wakati akiwa na nguvu kuimarishaupinzani. Hapa upinzani ndani ya UKAWA umefikia hatua ya mavuno. Tena makubwa.Ni wakati wa kufuta jasho na kusimama kidedea baada ya kuing’oa CCM. Sasa kwa nini, hawezi kuhama. Sababu ni hizihapa.
ngoja tuone
 
pumzika kamanda...lakini utafanya kosa kubwa usipokuwepo wakati wa kumtangaza mgombea wa ukawa.....hata kama haukubaliana lakini kwa wadhifa wako kama katibu mkuu wa chama anaye lipwa.....njoo ufanye wajibu wako....kumbuka unaweza kukubali kutokubaliana.....
 
Ni kweli mzee Slaa aachwe apumzike ili atafakari upya maisha yake ya kisiasa. Akishatafakari nadhani atakuja na majibu sawia. Tuache kumuwekea maneno mdomoni tumsubiri aje mwenyewe kuzungumza.
 
Slaa amepanda sasa Mbowe anakuja kuvuna kwa kuuza chama kwa 10bn...we unaona ni haki hiyo? Chadema ishauzwa!
 
Baada ya ushauri huu mkewe wa Slaa ameonekana kufurahia na ameanza kuelezea kwenye mitandao ya kijamii. Jsna kupitia kundi la Nyakahoja la whatsapp Josephine alisema mumewe ameteseka sana na chama hiki na amekitoa mbali sana. Dr.Slaa alivunjika mkono na hadi sasa ana ulemavu wa kudumu kwa sababu ya kuitetea chadema. yeye mwenyewe alipigwa na kuharibiwa mimba mwaka 2011 kwa sababu ya chadema halafu leo wanapuuzwa kama vile si chochote ndani ya chama.

Chadema jiulizeni kwa hili!
 
Nimeamua kuandika hii madafupi huku niki declare msimamo wangu kuwa niko upande wa wana mageuzi (UKAWA)

Ni ukweli kuwa, mtu yeyoteanayewekeza kwenye kilimo, huanza kwa kuchagua ardhi na mara nyingi ardhi hizihuwa ni mapori.

Kwa hiyo anawekeza kwa kufyeka na kutoa visiki vyote. Mara nyingihumchukua muda kama miaka kabla shamba hilo halijawa tayari kulimwa na kupatamavuno. Dr Slaa, ametumia muda wake mwingi wakati akiwa na nguvu kuimarishaupinzani. Hapa upinzani ndani ya UKAWA umefikia hatua ya mavuno. Tena makubwa.Ni wakati wa kufuta jasho na kusimama kidedea baada ya kuing'oa CCM.Sasa kwa nini, hawezi kuhama. Sababu ni hizihapa.


  1. Sasa ni pay time. Ni wakati wakuvuna kilealichokihangaikia kwa takribani miaka 20. (Correct option)
  2. Hawezi kuondoka na kujiunga na CCM. Sababu kama ni kigezocha kuchukia UFISADI, CCM ndiko makazi yake. Ni bora kubaki na Lowassa ambayeamekuwa nje ya serikali kwa miaka karibu nane, huku Ufisadi huko CCM umeendeleakutamalaki. (Wrong option)
  3. Option ya kujiunga ACT ni kama kurudi tena porini nakuanza kufyeka msitu ili kutengeneza shamba jingine. Well, inaweza kuwa wazozuri. Lakini, sidhani kama yuko tayari kungojea tena miaka 20 ijayo. (wrongoption)
Dr hawezi kufanya kosa hilo.Na kama ana mpango huo, basi anataka kuingia kwenye historia kama ya kina MremaLyatonga.
Nawakilisha



Anaweza kuwa na option ya kupumzika, kuachana na siasa.
 
Back
Top Bottom