Recent content by Manka4change

  1. Manka4change

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Sio kazi rahisi kutafuta kiongozi.. Tuwe na subira watanzania.. Acheni watu wafanye kazi yao.. Habari za ukweli ni kesho asubuhi ✌🏿️✌🏿✌🏿✌🏿
  2. Manka4change

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Jamani watanzania wenzangu tusubiri tu watangaze achani kutoa taarifa za uongo bila evidence..
  3. Manka4change

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    Mungu bariki tanzania yangu na chama changu chadema.... Kweli i support u 150% God gave use leaders na akawapa akili yaku anzisha chadema... Let there be leader n there was lissu let there b a party that will stand for poor people like me n there was chadema.. Mungu wangu bariki chama changu na...
  4. Manka4change

    FBI kuhusika katika kuchuja viongozi watakaompokea Obama

    Nasubiri bbc jumatatu hapa UK niskie habari ya obama tz maana kweli this is sad... Eti wanachagua watu wakenda kumpokea tena sio sisi watanzania ni wao... Kweli hii kali ya mwaka.
  5. Manka4change

    TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

    M TO THE P Ndio nani jamani... RIP kaka what a sad news....
  6. Manka4change

    Uchafu wa Waziri Ghasia na dharau zake kwa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kifua cha JK

    Huu ndio wakati wa kuwatoa hawa wabibi huko bungeni HAWA gasia.. Umeshaiba vyakutosha... Mwizi mkubwa wewe
  7. Manka4change

    Watu wauawa, Ofisi zachomwa Mtwara | Bunge la jioni lasitishwa - Hali ni tete...

    Kweli kabisa tatizo la dar much know kibao watu kazi yao kuuza sura wakati source ya ufisadi ni dar.. Mtu unazaliwa maskini na unakufa maskini hata kama umesoma... Jamani watanzania we need to get rid of them this is our time... Kama mtwara arusha, morogoro, iringa can do why not nchi nzima...
  8. Manka4change

    Watu wauawa, Ofisi zachomwa Mtwara | Bunge la jioni lasitishwa - Hali ni tete...

    Jamani hapo ni tanzania au iraq... Mungu ibariki nchi yangu
  9. Manka4change

    CCM Arusha yagawa milion 42

    Kwani kusiewe na records watu tuone haya mambo yaki fanyika....
  10. Manka4change

    PICHA: Compare and contrast - Mwanza and Morgoro

    Tatizo tanzania starehe tumeweka mbele kuliko maendeleo pia hatuna common stand.. Yani hawa wasani wa nchi yetu ni wajinga sana huyu diamond juzi tu alikuwa analalmika kuhusu ringtone sijiu ni eti leo anaperform palepale kama sio kukosa akili... CCM ni looser n hii ndio mwisho
  11. Manka4change

    Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA uwanja wa Ujenzi - Dodoma

    Jamani wapi tutapata mkutano live
  12. Manka4change

    Nyota ya Mwigulu Yazidi Kung'ara!

    We zero kweli ebu nenda kafanya utafiti ndio useme.... Stupid brain
  13. Manka4change

    Arusha kuchafu sana

    Jamani ndungu zangu wakazi wa arusha hili swala sio la mbunge swala hili tulisha lipeleka kwa watu husika ila hukuna kilicho tendeka... So what do you want us to do??? Watu wanalipa kodi kila siku pale sokoni... Je zinakwenda wapi??? Yeye kama mbunge anaweza kufanya kitu kuhusu hili... YES WE...
Back
Top Bottom