broken ages
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 235
- 85
Everyone iz responsible.... My point is soko la arusha mjini... We ----- nini do you want me to clean that market.. Yeye kama kiongozi can do sumthing about it..
Swala la usafi linatuhusu sote kila mtu kwa nafasi yake Kama ilivyo kwamba sisi ndo wazalishaji wa hizo taka pia tunapaswa kuwa wastaarabu kujua wapi pa kuzihifadhi badala ya kutupa hovyo,na sioni kama kuna sababu yeyote ya kumlaumu mbunge ama meya ktk hili kwani kuna wasimamizi wa majukumu kwa sehemu hizo ni bora basi wangelaumiwa wao,ikiwa ni sokoni yupo pia Mkuu wa Soko husika zipo idara za Soko zenye kuhusiana na usafi,ukiona hazitekelezi majukumu yao ipasavyo waweza sasa kulalamika AMA kuwatolea taarifa ngazi za juu Kama huko kwa mbunge ama meya na kadhalika hawa wasipochukua hatua ndipo sasa tuwalaumu ama kulalamika.je wewe umechukua hatua gani katika hili??