Kwani wenyewe wanasema ni za nini?
Kwani we unajua huwa wanafanyia nini?
Kwani wenyewe wanasema ni za nini?
kwani unafahamu vipi mwenzetu ?Kwani we unajua huwa wanafanyia nini?
watu wa arusha neema imekuja, kuleni pesa, kura kwa CHADEMA.CCM Arusha imegawa sh. Milion 42 kila kata itakayogombewa udiwani,hizi kazi yake kulaanisha wapiga kura.
Chanzo mimi mwenyewe niko kwenye kamati ya kampeni ya watu 10 upande wa CCM.
CCM Arusha imegawa sh. Milion 42 kila kata itakayogombewa udiwani,hizi kazi yake kulaanisha wapiga kura.
Chanzo mimi mwenyewe niko kwenye kamati ya kampeni ya watu 10 upande wa CCM.
CCM Arusha imegawa sh. Milion 42 kila kata itakayogombewa udiwani,hizi kazi yake kulaanisha wapiga kura.
Chanzo mimi mwenyewe niko kwenye kamati ya kampeni ya watu 10 upande wa CCM.
Msemo huu nimeupenda sana.kula ccm,kulala cdm,kuoga tlp huduma nyinginezo cuf
Kula CCm, Kura CDM, shauri yenu sisiem mmeshafanywa mitaji ya watu. Hali inaonesha mnapigwa vibaya katika kata za Arusha. Bora wanunulieni makatibu kata wenu pikipiki hizo hela. Lakini wakati mwingine nasema pelekeni hizo pesa watu wafaidi maana wamenyonywa kwa muda mrefuCCM Arusha imegawa sh. Milion 42 kila kata itakayogombewa udiwani,hizi kazi yake kulaanisha wapiga kura.
Chanzo mimi mwenyewe niko kwenye kamati ya kampeni ya watu 10 upande wa CCM.
Kwani wenyewe wanasema ni za nini?
Changamkieni hizo fedha na fanyeni kinacho? Kinachotakiwa kweli! Lah! Hakiamungu kweli yesu na maria sijui nirudi Arusha kwa muda aisee! Ndg yangu mushi nisipofanikiwa kuja msifanye mzaha aisee kumbukeni kura ni siri hamna noma yoyo! Yoyote kweli