Shule ya sekondari ya Runzewe mkoani Geita imefungwa kwa muda kwa wanafunzi wa kidato cha sita na tano baada ya kuandamana jana usiku huku wakidai kutotendewa haki katika adhabu wanazopewa na mkuu wa shule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.