Recent content by manju

  1. M

    Amcharanga mapanga mkewe kisa kutokuzaa

    nilipo soma tuu ujumbe juu yan title fikra zangu moja kwa moja zilinipeleka Tarime
  2. M

    Chombezo: Chachandu za Beka wa Tanga

    jitahidi kurefusha kidogooo
  3. M

    Chombezo: Chachandu za Beka wa Tanga

    mambo mazuri mzee kibandiko angekua dingi yangu enzi nabalehe angeninunulia ndege labda
  4. M

    Chombezo: Chachandu za Beka wa Tanga

    safi sana mkuuuu
  5. M

    Chombezo: Chachandu za Beka wa Tanga

    duuu ni nzuri sana endelea kutupa uwanjani paleee
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    kama upo njombe mjini njoo arusha mjini idara ya secondary mawasiliano 0659803969 asanten
  7. M

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    mfaranyaki songea, msangamkuu mtwara, msalabani geita,
  8. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    aanaetaka kilimanjaro rombo mi niende morogoro au pwani
  9. M

    Matokeo ya kidato cha nne yanatoka lini ?

    tulia kwanza hadi february yatatoka na shule mwezi wa saba
  10. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nipo wilaya ya rombo kilimanjaro natafuta wa kubadilishana nae awe pwani au morogoro contact me throu kingdvd23@gmail.com idara ya secondary
  11. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nipo wilaya ya rombo kilimanjaro natafuta wa kubadilishana nae awe pwani au morogoro contact me throu kingdvd23@gmail.com
  12. M

    Shule ya sekondari Runzewe yafungwa

    Shule ya sekondari ya Runzewe mkoani Geita imefungwa kwa muda kwa wanafunzi wa kidato cha sita na tano baada ya kuandamana jana usiku huku wakidai kutotendewa haki katika adhabu wanazopewa na mkuu wa shule.
  13. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kuandika barua ya kuhama halmashauri

    hii barua inataratibu nyingi sio kama mnavyo ropoka kama hamjui nyamazeni alie uliza yupo sahihi
Back
Top Bottom