hivi kwn Tarime kuna mzizi gn usiong'oleka too much kila cku wao tu.
Hawa watu sijui wakoje, huu ukatili hadi lini ???? kila siku wanawake kadhaa wamefanyiwa ukatili, ebu kuweni na huruma ninyi wanaume, kama unavyoweza kumuonea huruma dada yako uliyezaliwa nae vivo hivo muonee huruma mkeo. sijui tuwalilie na machozi ya aina gani ili muache kututendea ukatili.
Hawa jamaa ni wajinga tatizo wana miguvu hawana cha kufanyia
kanda ya ziwa hakuna wanaume kuna cannibals
Hawa jamaa ni wajinga tatizo wana miguvu hawana cha kufanyia
kanda ya ziwa hakuna wanaume kuna cannibals
Walewale wakina mura hatari sana hawa
Mkuu umezingatia nini kusema kanda ya ziwa hakuna wanaume? Unafahamu kama kanda ya ziwa ni zaidi ya Tarime na mkoa wa Mara? Watendee haki wanaume wanaoishi mikoa hiyo nadhani umewakosea sana. Dar INA machangudoa wengi lakini hatusemi dar hakuna wanawake, kumbuka huwezi kubeba dhambi ya mwenzio imeandikwa na nadhani ni sahihi kila mtu atabeba mzigo wake.
mikoa yote ya kanda ya ziwa wengi ndio zao mkuu hutaki unaacha
mikoa yote ya kanda ya ziwa wengi ndio zao mkuu hutaki unaacha
Mkuu inakuwa vipi unatutuhumu vijana wa kanda ya Ziwa kwa makosa ya mtu mmoja?
Hizi tabia ni hulka za mtu mmoja mmoja na sio kundi la watu.
Siungi hoja suala la kumsurubu mkewe kisa kutokuzaa,huu ni ukatili mkubwa sana ambao baadhi ya ndugu zetu wakurya wanaufanya kuumiza wanawake.Hatua stahiki inabidi zichukuliwe huyu firauni apambane na mkono wa sheria.
Wengi= wote, loading