Usimsaliti rafiki yako mkomeshe huyo shemeji yako kwa kumuita mchumba wako hapo nyumbani umtambulishe kuwa ni mke wa rafiki yako kapitia kuwasalimia so unataka wafahamiane naamini atakuaga tu hawezi kulala hapo na umlazimishe mchumba ako abaki mlale wote ataona sasa njama zake zimekufa
Jamani ni kawaida kwa watanzania kufanya kazi usiyosomea kwenye qualification walihitaji watu wa takwimu na uchumi so nadhani walishajua tunafit hapo. Nazijua kupitia tangazo lao la kazi wameziorodhesha but nataka kujua zaidi
Jamani wadau wenye uzoefu nimeitwa kwenye oral utumishi kada ya transport officer huwa wanauliza maswali ya namna gani me ni mchumi so siko vizuri sana kwenye transportation
Habarini za jioni wapendwa,
Mimi ni msichana nimeolewa miaka miwili iliyopita tatizo ni kwamba mume wangu anawahi kufika kibo na mawenzi tukiwa katika lile tendo yani dakika 2 nyingi na akitaka round ya pili basi humchukua hata nusu saa na huishia njiani hafiki tena kibo.
Kwakweli kama...
Hivi bi dada hadi hapo ulipofikia hujajua dalili za mtu aliyeku-debanji? (fall in love with u) . Ukipanda ubuyu usitegemee kuvuna.........
Pia kila mchuma janga hula na wakwao!
Me nilikuwa najua eti Posta kuna bomba kuubwaa ukienda kupost barua inasafirishwa ndani ya bomba hadi inafika ulikotuma!! Thijui kungekuwa na mabomba mangapi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.