Weekend Story! (Diaspora Vs Struggling Model)

Weekend Story! (Diaspora Vs Struggling Model)

SORRY! Nilichanganya ID. So sorry


Nipo poa hata hivyo I didn't feel offended isipokuwa nikifikiri labda uli carry sucks umeamua kuirudisha pande zangu..

As in kuna siku nilikuchafua!

Pamoja mkuu
 
Hahahahaa! Thank you kwa kusema chochote na kujua UASOMA mpaka mwisho. Hahahaa! Yako pia maoni, hii sio dini muitikie wote AMINA.
sisomagi, nascroll tu kuona utumbo wa siku hiyo, actually, you need a new hobby.
 
sisomagi, nascroll tu kuona utumbo wa siku hiyo, actually, you need a new hobby.

NOPE! I STICK TO THIS 1! You need a new person to keep up with! Kama utumbo wanguuuu, acha niwapikie supu watu wangu wa nguvu. Hauna shida na mtuuuu, tunajisomea tunafurahi week end hiii. It is free country, na sheria zinaruhusu FREEDOM OF SPEECH.

If you have something better to do, please PROCEED, hatujakuzuia, wala kukuomba uake nasi. ACHA WAFU TUZIKE WAFU WETU.
 
Wewe tuwekee kama kusoma tutaisoma siyo kutujazia threads humu mwisho wa siku threads za maana zinatupita tunapo-Search new threads.
 
super model tuletee utamu mda muafaka huu rooney ashatupa raha huko anfield bado wewe 2 weekend itakuwa perfect
 
Wewe tuwekee kama kusoma tutaisoma siyo kutujazia threads humu mwisho wa siku threads za maana zinatupita tunapo-Search new threads.

Hahahahaaaaa! Hii ndo nitaiendeleza wala siazishi nyingine
 
Huwa sinaga time na mistori yako lakini nimegundua kitu acha nianze kufuatilia, sitak kuwa na roho mbaya acha nafurahi na homosapiens wenzangu maisha yenyewe ndo haya haya kuna kifo pia

Opinion yangu naona ukuje na hio nyingine tofauti na diaspora
 
Ivi hakunaga tena BIOGRAPHY... Diaspora tuu maana hakuna namna
 
Super Model 10! Diaspora 11. Hali tete Bado Kura 9 tu! Uwiiiiiiiiiii!
 
Super Model 11, Diaspora 11! Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Pigeni Supemodel 5 tu, tumalize kazi!
 
Back
Top Bottom