ni wewe au naota?! Ina maana Chadema uongozi hamna? Juzi juzi hapa Heche katuambia ktk facebook tukutane kimara tunaandamana, kwenda hamna mtu eti makao makuu ya chama wamefuta. Leo wewe hapa unakubali kwa kuthibitisha ktk jf maandamano yapo wakati kule fb hakuna Tangazo. Sikiza, wengine tuna...
tushawachoka na kelele zenu bila vitendo. Si umesema ijumaa? Sasa ole wako maandamano yasiwepo, nitakutafuta znz yote mpaka nikupate then niku cameroon.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.