Non sense Questions...
Kuzaliwa uzinzin ni kosa la Alie zaliwa au alie zalisha na kuzalishwa.??
Ni kwa vip Sadaka yake isikubalike kwa kosa ambalo akulifanya yeye..??
Kwaiyo mkuu unawekeza M10 ili upate M7 kwa mwaka..hahaha....Halafu unasahau kitu..iyo M7 unayoipigia hesabu apo ki kama Bajaji itafanya kazi mwaka mzima bila ya kupumzika ata siku moja...kumbuka Kuna hesabu za service na garama zingine za uendeshaji kama Kodi za TRA,Insuarence saivi hadi...
Akili zako Fupi sana...umepewa options zaid ya tatu..kwanini Ung'ang'ane na option moja ya box...??..Dah hii Nchi Sijui ata tumewezaje kujenga SGR kwa akili Kama Izi..
Sijaliweka ili swala kiimani,wala hakuna mahala nimesema wanao amin yesu ni mungu ni wajinga...Nimejibu kutokana na Hoja yake..yeye kasema kua inakuaje binadam anakua mtu maarufu zaid kuliko mungu...Nimemuuliza swali la msingi sana kabla ya kujibu swali lake la msingi..nawewe kama utaweza...
Unaandika utazani hauna kichwa mkuu...Umesema watu maarufu si ndio..then ukasema Isack Newton...Then ukasema Mtu huyo alitakiwa kua Yesu,kwa sababu yesu Ni mungu...mbona Unatuchanganya tuelewe kipi...em tuliza kichwa then tuambie ili tujue tuna solve vp malalamiko yako..Yesu Ni Mtu au Ni...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza,
Naomba kwa mwenye Soft copy ya Iyo Guide book wakuu.
Nimeingia Kwenye Page Ya TCU nimeona Tangazo kua ilikwisha tolewa from June 9, ila Nimeshindwa kupata sehem ya Kuidownload
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.