Msaada: naomba kujua Ada vyuo vikuu vya serikali

Scolari

JF-Expert Member
Aug 25, 2017
1,694
2,294
Wasalaam wakuu......
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza waungwana naomba kujuzwa Ada kwa vyuo vikuu vya serikali ni kiasi gani kwa undergraduate degree program yaani ile tunasemaga digrii
 
Wasalaam wakuu......
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza waungwana naomba kujuzwa Ada kwa vyuo vikuu vya serikali ni kiasi gani kwa undergraduate degree program yaani ile tunasemaga digrii
Ina range 1M -1.3M hutegemea na programme unayosoma.
 
Back
Top Bottom