ada inatofautiana kutokana na kozi. Mf. Mzumbe ada ya chn kwa bachelor ni 1.2m na ya juu ni 1.3mUndergraduate degree
Nadhani private itakuwa bei juu kidogo... Hiyo bei ya 1.8m ni maximum... Ila standard kabisa huwa ni 1.5m mkuu, serikali iliwapa masharti vyuo binafsi namna ya kuweka ada ili watu wote wasome,Kumbe hakuna tofauti na vyuo vya private
Ada ni moja.Ok shukrani
Mzumbe zote?
Dar moro na mbeya?
karibu.Shukrani
Bado sana.Naomba kujua kama TCU washafungua dirisha la udahir kwa Mwaka wa Masomo 2023-2024 wakuu
www.tcu.go.tzNaomba kujua kama TCU washafungua dirisha la udahir kwa Mwaka wa Masomo 2023-2024 wakuu
Asante mkuuBado sana.
Ina range 1M -1.3M hutegemea na programme unayosoma.Wasalaam wakuu......
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza waungwana naomba kujuzwa Ada kwa vyuo vikuu vya serikali ni kiasi gani kwa undergraduate degree program yaani ile tunasemaga digrii