Jingine ni mawazo yako yasiyokuwa na maana.samahani usije kuwa mtoto nikakukosea inawezekana bado uu mtoto sana,hayo utawaeleza wasioona na kusikia wala kuelewa.Unalipwa sh ngapi?zimekusaidia nini wakati ndugu zako wengi wanumiaaaa! acha u.......a
Nawatakia kila la heri katika mkutano huo.Wanamoshi washajikomboa wengine mwangoja nini?hamjaona tu matatizo yanavyopandana?
Watanzania igeni mfano wa Moshi na Arusha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.