nani anaweza kueleza maana halisi ya dini? unajua inabidi mtu uende mbali sana ili ujue kwa nini hao wenye ngozi nyeupe walitumia dini ili kujiwekea mazingira mazuri ya kutunyonya na sasa wanaona hazina maana tena. Elewa kuwa dini na siasa zinatumika kutawala fikra za binadamu. ukitaka kuelewa...
nakupongeza dada kwa kumwaga ukweli, lakini mmeo alishindwa kusema ukweli akasema anataka ameacha mambo ya utangazaji kumbe kaenda kutangaza........, clouds hovyo vipindi vyao wanatajana majina tu kama nyimbo za Congo @#%$^*&^
haaa haaa unajua maisha bwana watu wana namna nyingi za kutoka. Uliona wapi mtu mmoja ana vyeo vyote vya KIMUNGU? Mtume yeye! nabii yeye! sasa hata atajiita mungu maana anataka kujifanya anajua yajayo.
Hivi mimi najiuliza yale ambayo yalipelekea wao kugoma yalikuwa sio sahihi? Kumbukeni jinsi makundi mbalimbali yalivyowaunga mkono.
Mfano taasisi ya haki za binadamu ya Mama Kijo Bisimba wanajisikiaje? Kweli Tanzania bwana kila jambo linaendeshwa kinjaanjaa tu. Wako walioitwa na mheshimiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.