Recent content by mangia22

  1. mangia22

    Nataka kuja Dar es Salaam, wajuzi wa maeneo nisaidie

    hiv huku bongo kuna vidume wajinga hivi...kuna watu wako siriaz na hata email wanatoa! dah nimecheka adi nimekasirika. hiv mnadhani kuna kitu kama hik? inamaana hamjui mnaweza kuwa mnachati na kidume mwenzenu na yuko maeneo ya sinza kwa wajanja? hii haijakaa vizur kwa mn wanaume tunakuwa...
  2. mangia22

    Wananchi msifanye makosa 2020 ya kuchagua wabunge wanaosusa Bungeni

    heri kususia kuliko kusema ndiooooo...ipiteeeeeee ndo vinatutia aibu sasa. rais anasulubiwa kwa ile ipiteeeee. hujanishawishi ndugu
  3. mangia22

    Fuata hatua hizi chache kupata mashine yako ya Max Malipo

    swal jingine kwa baada ya kuipata hio mashine unahitaji mtaji wa sh. ngap ili uanze biashara?
  4. mangia22

    Diwani wa Kahe Mashariki amefanya mambo makubwa anastahili pongezi

    mkuu niunganishe nae nataka mashamba ya kukodi huko kahe nilime mpunga na maharagwe
  5. mangia22

    TANZIA: Anayedaiwa kuchora Nembo ya Taifa, Mzee Francis Kanyasu(Ngosha) afariki dunia

    muhimbili bhana...hiv sku iz mnaandikaga barua kila akifa mgonjwa? au siasa ishangia ndani
  6. mangia22

    Polepole: Walitaka kumhonga Rais Magufuli Sh. Bilioni 300 ili asifanyie kazi taarifa ya mchanga

    polepole peleka ujinga kule unaropoka tuu kumwabisha rais wetu. nnavomjua magu angeikubali hio hela na kuwasweka ndani waliotaka kumhonga. na hio ndo ingekuwa sbu ya kuonyesha ulimwengu hawa c wema na tungevunja mikataba yote na kuwashtaki. siamini kama hio ni kwel na kama imetoka kwa pole pole...
  7. mangia22

    Bei ya ufuta

    kama hawaweki kwenye gunia wanaweka wap ndugu?
  8. mangia22

    RED MERCURY NEEDED

    unayo au unajua hii substance inapopatikana? Tafadhali tuwasiliane MP
Back
Top Bottom