2000 33567 8734
Mbona huyu unaemsema najua ana masters ya BA? tena UK? wewe vipi bwana mbona huna haya? mie namjua au tuu kwa vile mnaishi Dar basi nyie tu ndo mnaojua mambo kushinde wengine wa nje ya Dar? acha u-jinga wewe
Brother, au ndugu naomba niseme kidogo. Umetumia sayansi ya bible nami nitumie ya jamii. social capital (mitaji ya kijamii)) inayobeba uaminifu (trust); network na norms (maadili ya jamii) imetyoweka tangu CCM ilipokufa alipofariki Mheshimiwa JK Nyerere. Hapa wanainchi wengi walipoteza imani kwa...
Ni nkuwafukuza wasomali wote. Pia ikumbukwe kuna hela billion 18 shs alikamatwa nazo Advocate Ngalo (bila kukosea kule Arusha), ni mambo ambayo yanaweza kuwafanya watuvamie. Mie naamini executive yetu inalielewa hilo na cabinet ijipange kinamna ya kukabiliana na majanga.
Kenyatta has got a lot of investments in Tanzania for your information and he can not dare to raise his chin against Mr President JK. He has full respect to his counterparty President and people of TZ.
Part of his inevestment is Brooks diary company whis has deport suppliers in Arusha, Dar na...
Pia ngalia vizuri waliomzuguka ni mabodigadi kaka. hata hivyo kama maraisi wetu hawakuiba na kufanya hiana pia wanaweza kuwepo na mabodigadi wakaingia fast track bus wakaingia Dar au changombe kufundisha ati
Do you have children? if you have children/child she may be at the beginning of issues including post-natal depression. Do you normally socialise? try to bring into place about outing activities such as shopping, swimming, or casually going to visit friends in w/ends. Generally, try to discuss...
ni kweli kabisa ili kuepuka POST TRAUMATIC STRESS DISORDER na umri huu inabidi umgeukie wa kujifunika kwa shuka. Mie namtafuta mmojawapo. je unamjua mmojawapo?
sasa ndugu serikali yab RUSSIA ikiuza meli moja ya silaha kule IRAni au Syria ni hela ya kutosha. Ni kweli walipobinafsisha reli umeme na vingine vingi serikali iliwagurantor kupitia benki za ndani ambazo zinauwezo wa kukopa nje. Tofauti na bongo benki za ndani hazina uwezo wa kuiambia Benki kuu...
GOVT has not sustainable capital ya kukopa benki za nje au kuwa guarantor. Anaglia kampuni za nje kama Symbion ilibidi USA gvt iwe guarantor for this gas company kukopa anywhere. TZ haiwezi bajeti ya kuendesha nchi kilio.
yap presidah alimchota kutoka Seoul UNI akiwa mkuu wa idara ya mambo ya nyuclear. Jamaa ameandika paper JKkaituma UN na USA ndo iliyoipa TZ leseni ya kuchimba Uranium na UN. Ni mzuri sana JK anamkoma
Mbona miaka yote tunapokwenda kuizka kule bukoba twapitia kwao na kulipa visa jamani? leo hii shida iko wapi? twashazoea kulipa visa kwa hiyo no worries bro
na bado wakijikoroga kujiondoa Internation criminal cout ndo kwishnei kwani EU watazuia bishara za kutoka Kenya na kuingia Kenya kama vile Commercial airlines. if not kupunguzwa thus chakula na mahitaji mengi watakuwa wanaegemea soko la TZ pia hata semiprocessed mareials kama vile kahawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.