Reginald Mengi, Waziri Sospeter Muhongo WASHIKANA Mashati...!!

Reginald Mengi, Waziri Sospeter Muhongo WASHIKANA Mashati...!!

Mengi ni Mtu anaependa Mtelemko hata Rostam aliwahi kusema, Aeleze kwanza Vitalu vya Madini alivopewa kaviendeleza kwa Kiasi gani?, Hata kipindi kile cha Mzee Mwinyi alidai Wazawa hawana Viwanja kati kati ya Jiji alivopewa akamuuzia Muhindi, Ukitaka kitalu cha Gesi weka Mezani Billion mia moja tuone kama utanyimwa, Ela za Bss na Mabaki ya Kamari za Jackpot bingo huwez kumiliki kitalu, Professa Chanja mbuga watu wanadhan Weusi wa Ngozi ni kigezo cha kupata vitu vya bure, kapewa vitu kibao vya Serikal hata kulipa mishahara ya kueleweka kashindwa! Mengi ni Kaburu Mweusi

Hata mie nilitaka kuuliza hilo swali ni muhimu kupata jibu lake
 
Hivi tatizo la mengi ni kwamba hatoi rushwa au ni nini? kwa nini ni yeye tu ndio anawekewa vikwazo kila kukicha?


Mengi alifanya mambo yake wakati wa Mzee Ruhusa, ndo awamu ilyokua inambeba kila inapotakiwa kubeba wazawa anatafutwa Mengi alipo. Sijui kwa nini awamu zilizofuata hazimpi kipaumbele.
 
Pole nadhani unamkubali kwa kumwangalia tu kamwe hujapata bahati ya kumfahamu huta lala siku hiyo ukimfahamu ni mchafu wa wachafu.

Huyu jamaa kaandika gazeti nimeona tu nitumie mgogo wako kuchangia sasa hayo mashati wameshikana wapi?
 
Pole nadhani unamkubali kwa kumwangalia tu kamwe hujapata bahati ya kumfahamu huta lala siku hiyo ukimfahamu ni mchafu wa wachafu.

nakubaliana na wewe lakini naamini uchafu wake sio kama wa viongozi wa serikali ambao licha ya kutumia matatizo ya nchi hii kupiga hela,bado wanaendelea kuwauzia nchi wageni.hivi ulishawahi kufikiria ni wanafunzi wangapi wameshindwa kuendelea na A level kwa sababu za uhaba wa mashule wakati watu wanaweka bilions of shillings kwenye account zao huko nje ambazo zingeweza hata kujenga mashule mia ya A level?unajua ni akina mama wangapi wanakufa kwa kutokufikiwa na huduma za afya wakati wa kujifungua ili hali bilions za mahela zinaenda mikononi mwa hawa washenzi?usitake kunifanya nilie bro
 
nakubaliana na wewe lakini naamini uchafu wake sio kama wa viongozi wa serikali ambao licha ya kutumia matatizo ya nchi hii kupiga hela,bado wanaendelea kuwauzia nchi wageni.hivi ulishawahi kufikiria ni wanafunzi wangapi wameshindwa kuendelea na A level kwa sababu za uhaba wa mashule wakati watu wanaweka bilions of shillings kwenye account zao huko nje ambazo zingeweza hata kujenga mashule mia ya A level?unajua ni akina mama wangapi wanakufa kwa kutokufikiwa na huduma za afya wakati wa kujifungua ili hali bilions za mahela zinaenda mikononi mwa hawa washenzi?usitake kunifanya nilie bro

Mkuu yani inaumiza kweli ...hawa hawa tuliowaita WAKOLONI leo tumewabatiza jina WAWEKEZAJI !!
Halafu waziri anatoa maneno ya kejeli..!!
 
Wengi mmejikita kumshambulia Mengi. Sioni mkijibu hoja TPSF kwamba sera ya gesi kwanza kisha kugawa vitalu kufuate. Pili wanataka gesi inufaishe taifa na wazawa kwanza. Hapa haimaanishi Mengi ndo apewe, mimi, wewe na na yule ama kila mmoja kivyake au kwa umoja wetu tunaweza kuungana na kama tukifikisha vigezo tupewe kwanza kama wazawa kuliko kukimbilia kutoa vitalu kwa wageni. Sera hii ufuatwa duniani kote kwaenye nchi zinazojali watu wao. Vinginevyo unaweza kuwa na rasilimali zisizofaidisha taifa kama tulivyopoteza kwenye madini. Muhongo atueleze kwanini hataki kufanya hivyo na si kumshambulia Mengi personally.
 
Na nchi hii ikipata uhuru kamili**** tunaanza na watu kama nyie mnaotumiwa na mafisadi,usikute naye keshafunguliwa akaunti kule uswizi walipoficha hela mafisadi wenzake
Mengi kazoea kuibia taifa hili tangu mwanzo sasa tumemchoka.
 
Cc:simiyu yetu
wengi mmejikita kumshambulia mengi. Sioni mkijibu hoja tpsf kwamba sera ya gesi kwanza kisha kugawa vitalu kufuate. Pili wanataka gesi inufaishe taifa na wazawa kwanza. Hapa haimaanishi mengi ndo apewe, mimi, wewe na na yule ama kila mmoja kivyake au kwa umoja wetu tunaweza kuungana na kama tukifikisha vigezo tupewe kwanza kama wazawa kuliko kukimbilia kutoa vitalu kwa wageni. Sera hii ufuatwa duniani kote kwaenye nchi zinazojali watu wao. Vinginevyo unaweza kuwa na rasilimali zisizofaidisha taifa kama tulivyopoteza kwenye madini. Muhongo atueleze kwanini hataki kufanya hivyo na si kumshambulia mengi personally.
 
Hivi kule Russia kuna mabilionea wangapi katika sekta ya gesi na mafuta wanaotoka MAREKANI na nchi nyingine za ulaya magharibi? Tufike wakati tuamini tunaweza na kuweza kwetu kutaelezwa ndani ya SERA, SHERIA, KANUNI NA TARATIBU. Tunahitaji rasirimali zetu ziwe kwa manufaa yetu. Kuna watz wamebadili uraia ili waweze kufaidi fursa katika mataifa hasa za kiuchumi. Sisi tunajifunza nini juu ya hilo? Ni sheria ipi katika uwekezaji mkubwa,(sio wa juisi na soda) ambayo inatoa kipaumbele kwa watz. SERA ndio chimbuko la sheria. Hao watakaopewa vitalu watawajibika au wataongozwa na sheria ipi?
 
Samahani hv huyu ni mbunge wa wapi??? Au ndo yule wa Ahsante presidah.
yap presidah alimchota kutoka Seoul UNI akiwa mkuu wa idara ya mambo ya nyuclear. Jamaa ameandika paper JKkaituma UN na USA ndo iliyoipa TZ leseni ya kuchimba Uranium na UN. Ni mzuri sana JK anamkoma
 
Hivi kule Russia kuna mabilionea wangapi katika sekta ya gesi na mafuta wanaotoka MAREKANI na nchi nyingine za ulaya magharibi? Tufike wakati tuamini tunaweza na kuweza kwetu kutaelezwa ndani ya SERA, SHERIA, KANUNI NA TARATIBU. Tunahitaji rasirimali zetu ziwe kwa manufaa yetu. Kuna watz wamebadili uraia ili waweze kufaidi fursa katika mataifa hasa za kiuchumi. Sisi tunajifunza nini juu ya hilo? Ni sheria ipi katika uwekezaji mkubwa,(sio wa juisi na soda) ambayo inatoa kipaumbele kwa watz. SERA ndio chimbuko la sheria. Hao watakaopewa vitalu watawajibika au wataongozwa na sheria ipi?
GOVT has not sustainable capital ya kukopa benki za nje au kuwa guarantor. Anaglia kampuni za nje kama Symbion ilibidi USA gvt iwe guarantor for this gas company kukopa anywhere. TZ haiwezi bajeti ya kuendesha nchi kilio.
 
Ndipo ninapomchukia Kikwete, hawa mawaziri wake vilaza huwa sijui anawatoaga wapi?
Hii gesi inafanywa siri, tukija stuka imeisha na hakuna lolote tululofaidika kama Taifa, kama ilivyokuwa madini.

Tanzania ina mambo ya ajabu sana hembu tumwulize pr Muhogo, mgodi wa Tulawaka umefungwa mwaaka huu umeliingizia taifa shilingi ngapi, mgodi wa Resolute - Nzega umefunggwa umeliingizia taifa faida kiasi gani haya maswaali yanamhusu mojakwa moja kwa sababu yeye fani yake ni madini atujibu
 
GOVT has not sustainable capital ya kukopa benki za nje au kuwa guarantor. Anaglia kampuni za nje kama Symbion ilibidi USA gvt iwe guarantor for this gas company kukopa anywhere. TZ haiwezi bajeti ya kuendesha nchi kilio.
Jitahidi kutumia lugha moja. Maana halisi ya kukopa ni kuongeza mtaji, huna mtaji wa kutosha kufanya uwekezaji unaenda kwenye taasisi za kifedha zikusaidie. Serikali haihitajiki kuwa na mtaji, inachofanya ni kuwa na sera bora. Mwekezaji ndie mwenye jukumu la kutafuta mtaji, serikali inaweza kumdhamini katika mkopo anaochukua. Ili kupata mkono kikubwa ni kuwa na andiko na dhamana kwa ajili ya mkopo husika. Si lazima mikopo itoke ndani. Mfano mzuri ni mkopo wa ujenzi wa bomba la gesi.
 
Hivi kule Russia kuna mabilionea wangapi katika sekta ya gesi na mafuta wanaotoka MAREKANI na nchi nyingine za ulaya magharibi? Tufike wakati tuamini tunaweza na kuweza kwetu kutaelezwa ndani ya SERA, SHERIA, KANUNI NA TARATIBU. Tunahitaji rasirimali zetu ziwe kwa manufaa yetu. Kuna watz wamebadili uraia ili waweze kufaidi fursa katika mataifa hasa za kiuchumi. Sisi tunajifunza nini juu ya hilo? Ni sheria ipi katika uwekezaji mkubwa,(sio wa juisi na soda) ambayo inatoa kipaumbele kwa watz. SERA ndio chimbuko la sheria. Hao watakaopewa vitalu watawajibika au wataongozwa na sheria ipi?

sasa ndugu serikali yab RUSSIA ikiuza meli moja ya silaha kule IRAni au Syria ni hela ya kutosha. Ni kweli walipobinafsisha reli umeme na vingine vingi serikali iliwagurantor kupitia benki za ndani ambazo zinauwezo wa kukopa nje. Tofauti na bongo benki za ndani hazina uwezo wa kuiambia Benki kuu ambayo ni gvt sasa kuweza kuwaguarantee local invenstosrs kwani hawana soko pia. Urusi ni kwamba gesi inatumika majumbani, maofisini, na viwandani yote hiyo kikubwa ni winter, they need to warm up their home, cooking and ofisini with gas. Wameendelea kiasi kwamba hata miti haikatwi tena. nKujenga wanatumia steel. Na pia infrastructure inaruhusu kwani ni mabomba yameweka ardhini ya ku-supply hiyo yote. Na pia ni karibu nchi zote zilizoendelea ndivyo zilivyo. Hebu ngalia TZ ili uweze kulipa billi za gas umeme na mengine inatakiwa kuwepo na employment infrasture, itakayoweza ku-sustain or ensuring the consistency of salaries payments na pia hawa watu waweze kulipa kodi za nyumba na power and gas bills ili nao hayo makampuni yaweze kurudisha mikopo waliokopa huko wanakokujua. Kingine ni kwamba ili upate soko la gas ikumbukwe pia hao hao pia wanao watu wa kuuza hiyo gas na sio wao wenyewe wanaipeleka sokoni: naomba mkumbuke soko la kahawa duniani lilivyouawa. Pia 1975 wahuni walipokaa kule Tokyo na kuunda chama cha wauza petroli ambapo maka kesho petoli inapanda bei na haitakaa ishuke miliele. Je ni nani anaeumia???? mie niko mrengo wa kushoto-kati (I am Labour- Conservative, not Liberal conservative
 
Jitahidi kutumia lugha moja. Maana halisi ya kukopa ni kuongeza mtaji, huna mtaji wa kutosha kufanya uwekezaji unaenda kwenye taasisi za kifedha zikusaidie. Serikali haihitajiki kuwa na mtaji, inachofanya ni kuwa na sera bora. Mwekezaji ndie mwenye jukumu la kutafuta mtaji, serikali inaweza kumdhamini katika mkopo anaochukua. Ili kupata mkono kikubwa ni kuwa na andiko na dhamana kwa ajili ya mkopo husika. Si lazima mikopo itoke ndani. Mfano mzuri ni mkopo wa ujenzi wa bomba la gesi.
sasa kamanda hiyo gas itauzwa kwa nani wakati wahuni hao hao wanaokuja kuchimba ndo wanajua kwa kuiuza?
 
Wewe hacha kutuka watu ovyo .ebu angalia ufisadi unaofanywa huyu profesa uchwara.kuwatukana wawekezaji wazawa na kuwakumbati wageni ambao watuibia kila cku wakishirikiana mafisadi wa ccm.na imekuwa je alikubali kuangalia upya hizo sheria za gesi halafu habadilike ?? Kwa kisingizio cha kipumbavu?kwamba msumbiji watawachukua wawekezaji ?mbona hiyo gesi ilikuwepo toka babu na babu leo hii tuitoe bure kwa kisigizio cha kukimbiwa na wawekezaji? Acheni kugawa bure mali ya watanzania? Kwanza masilai ya watanzania na siyo muhongo?au umeshapewa chako ndiyo maana umewageuka WaTz??
 
Back
Top Bottom