Ni wapuuzi tu wanaomini mama ana kauli ya mwisho katika chama
Labda ushungi wake ndo sababu ya kuchukiwa zaidi ya hapo hakuna.
Yani midume iliopo chamani yote yeye ndo awe mtoa amri hilo haliwezekani.
Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya mnatumia njia hii muungwa mkono na wapuuzi wasiojielewa...
Natumai itakua mawazi tu ila hawezi kuongeza muda
Mipango inayo indelea nje ya uwanja halimhusu Klopp tena amesha sema nguvu ya ziada hana nitashangaa sana akibaki.
Natamani mabadiliko na muda ndo huu.
Amecheza mechi zake za karibuni kwa mpangilio Sanaa nimeona mechi ya united alivo wapelekea moto na jana kampumzisha mtu 6 kwa ajili ya hii mechi kazi tunayo.
Kipara hatanii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.