Bajeti ni nzuri sana. Watz tupigeni kazi sasa taifa letu likokwenye transition we wir be independent soon. Tuchape kazi kwa moyo wote tujitume sana . TUZALISHE TZ TUNUNUE TZ NA TUWAUZIE VYETU HASA BIDHAA. We will chance my dear brethren Tanzanian.
MCC walichokifanya si kizur sana lakini ni kizuri coz wametuonesha madhara yakuwategememezi . Watanzania tunapaswa kujitahidi sana tufanyekazi sana ili tuongeze kipato kwetu na taifa kwa ujumla. America inatufundisha somo na hayo ndio madhara yakutegemea. Watz tupigeni kazi tuuze bidhaa na mazao...
Nijuavyo mimi hapo mwanzo taifa teule la Mungu lilikuwa Israel. Sasa baada ya Israel kumuasi Mungu aliliadhibu hilo taifa hata Kristo akaja kwaajili ya ukombozi wa kila mwanadam regardless wa taifa gani. Maana Israel walikuwa wateule na walipaswa kuwa kielelezo cha watu wote but they failed to...
Kwan tatizo ni kwa walim tu! Nchi hii uozo ni mwingi sana. Kwenye Halimashauri zetu ndio kunamambo mengi sana. Lkn kwa kuwa mnatolea mfano mara kwa mara walimu kweli mnawadharirisha sana aisee. Au ndio wanyonge wenu mnasemasema tu. Kwann msiseme hospital !!!!!
Am serious with this English is third language to most of us so don't mind on that, our intention should be on development. And preparing our future of our grands.
What Masaja said is true to some extent but it is not easy as he think. It need time to organise and program this projects. It is a challenge let's as take as a challenge.
Duh! Ulikuwa na lengo zuri la kueleza uchochezi wa chadema lakin kwa bahati mbaya sana huwezi kuunda na kuwasirisha hoja ikaeweka vizur jipange upya kabla ya kuropoka.
Ah tunahitaji kiongozi imara kimisimamo,kiafya,mwenye maono,mwaminifu na mzalendo na sikivu zaidi aweze kusimamia vema matumiz ya rasirimali zetu na awetayar kutokupelekwa pelekwa na chama pia wafanyabiashara. Kama Edo,Membe,Mako,Agustino n.k wanazosifa hizo na wapewe nafasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.