Ni mshangao. Kuna waliotumbuliwa hata kwenye majukwaa ya mikutano ya kisiasa, au hata kuagizwa kuchunguzwa.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Ili kuokoa muda na hasara kama hizo, wakulima wengine hununua mbegu iliyotayari kupandwa. Nimepna maeneo mengi hususana Mbeya wilaya za Rungwe na Busokelo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzetu wanazijua haki zao. Wanaijua demokrasia, hawatishwi na kauli za ki dikteta. Sisi wacha tubaki na uwoga wetu, upole wetu na unafiki wetu. Kivyetu vyetu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu huwa hakosei. Sijasikia wakilalamika kukosa mabwana. Nahisi kuna wanaume kadhaa wana wapenzi zaidi ya mmoja. So wamesha cover hio idadi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi huwa najiulizaga saana! Ivi kwa nini tulihamia digital na kuzima mitambo ya analogy kwa mbwembwe nyingiiii huku tukijua fika sio wa TZ wote watapata hizo FTA TV???.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sio mwaminifu. Kama ulishakuwa nae mmoja, sasa kwanini uanzishe mahusiano na mwingine??? Be host specific [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kampuni kadhaa zinazonunua parachichi katika wilaya zinazolima kwa wingi zao hili. Upande wa Mkoa wa Mbeya, wilaya za Rungwe na Busokelo maeneo ya Tukuyu kuna kampuni za Rungwe Avocado Company, Kuza Afroca Ltd, Lima kwanza na Kenya Orchard Logistics. Pia baadhi ya hizi Kampuni hununua Mbeya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.