ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,851
- 41,924
Viazi mviringo huoteshwa katika chumba ambacho kina mwanga wa kutosha(sio jua) na hewa,mara nyingi viazi huweza kuoza kwa wingi na rahisi endapo utakuwa umeviweka kwenye gunia muda wote na hapo inapotokea kiazi kimoja kimeoza huambukiza na vingine.(wengine huweka vichanja maalumu katika vyumba vya kuhifadhia viazi vivyo)
NB:
Muda wa kuota hutegemeana na:-
1.Aina ya mbegu;mfano sherehekea huchelewa sana kuota kuliko alika n.k.
2.Hali ya hewa:mfano baridi kali huweza kuchelewesha uotaji.n.k.
Viazi mviringo huoteshwa katika chumba ambacho kina mwanga wa kutosha(sio jua) na hewa,mara nyingi viazi huweza kuoza kwa wingi na rahisi endapo utakuwa umeviweka kwenye gunia muda wote na hapo inapotokea kiazi kimoja kimeoza huambukiza na vingine.(wengine huweka vichanja maalumu katika vyumba vya kuhifadhia viazi vivyo)
NB:
Muda wa kuota hutegemeana na:-
1.Aina ya mbegu;mfano sherehekea huchelewa sana kuota kuliko alika n.k.
2.Hali ya hewa:mfano baridi kali huweza kuchelewesha uotaji.n.k.
Ukiwa na swali lolote usisite kuniuliza.Asante, maana hapo umenitoa tongo tongo aisee
Pamoja na hilo mkulima anatakiwa kununua mbegu kwenye chanzo cha uhakika ili kuepuka na magonjwa kama mnyauko(bacterial wilt) na virusi.Ili kuokoa muda na hasara kama hizo, wakulima wengine hununua mbegu iliyotayari kupandwa. Nimepna maeneo mengi hususana Mbeya wilaya za Rungwe na Busokelo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano, Unaweza nunua mbegu Mbeya ukaipanda Njombe ikakubali vizuri?Ukiwa na swali lolote usisite kuniuliza.
Viazi Mviringo asilimia kubwa mbegu moja ina uwezo wa kustawi eneo lolote linalokubali viazi mviringo tofauti na mahindi.Mfano, Unaweza nunua mbegu Mbeya ukaipanda Njombe ikakubali vizuri?
sawa MkuuUkiwa na swali lolote usisite kuniuliza.
Mi niko Mwanza, sasa hizo mbegu za kununua zikiwa zimeota nitazipata kweli?Pamoja na hilo mkulima anatakiwa kununua mbegu kwenye chanzo cha uhakika ili kuepuka na magonjwa kama mnyauko(bacterial wilt) na virusi.
Mwanza sehemu gani unako taka kulima viazi mviringo.Mi niko Mwanza, sasa hizo mbegu za kununua zikiwa zimeota nitazipata kweli?
Kupata mbegu inawezekana.Mi niko Mwanza, sasa hizo mbegu za kununua zikiwa zimeota nitazipata kweli?
Wanabodi, baada ya kufuatilia kwa kina na kwa mantiki ya hali ya juu, juu ya kilimo cha viazi mviringo ama viazi ulaya, (Irish potatoes) nahitaji mbia ama mwekezaji mwenza ili tukalime na kuanya biashara hii ya viazi.
Napenda kutoa wasi wasi juu ya uwekezaji huu, kwani una returns nzuri mno mzigo ukifika somoni.
Kwa yoyote aliye tayari, asisite kunitafuta kwa ajili ya majadiliano ya kina.
NAWASILISHA
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah, professionally mie ni mtu wa bima nafanya kazi katika kampuni ya bima. Upande wa kilimo sio mtaalamu lakini niliwahi kufuatilia kuhusu kilimo hiki cha viazi. Nadhan mda umefika nataka kujaribu. Mie mpambanaji uhuni kwangu mwiko.Wewe umejuaje?
Honestly nikirefer uzi wako kua unatoa bima ya afya nakuona umekaa kipigaji pigaji sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
İts a porobality game.2017 viazi vilikuwa mpaka 18000 gunia na bado wanumuzi huwaoni, 2018 mpaka 80000 gunia.Daah, professionally mie ni mtu wa bima nafanya kazi katika kampuni ya bima. Upande wa kilimo sio mtaalamu lakini niliwahi kufuatilia kuhusu kilimo hiki cha viazi. Nadhan mda umefika nataka kujaribu. Mie mpambanaji uhuni kwangu mwiko.
Sent using Jamii Forums mobile app