Mapenz yanaua! Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Dotto.anahusishwa na mauwaji ya mkewe anaye itwa Zainabu Bakari kwa kumchoma kisu na kusabisha kifo chake! Et kisa kukataa kurudiana naye ili awe anampikia futari katka mfungo huu wa mwez mtukufu wa ramadhan.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.