sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,425
ah ah ah ah ah! hongera bana kwa huo mzigo ingawa na baridi hii inabidi obama azibidiwe maana hali yako hiyo!
unatafutwa kung'olewa kucha na meno kwa prize weweee, haya usije sema sikukwambia.
ah ah ah ah ah! hongera bana kwa huo mzigo ingawa na baridi hii inabidi obama azibidiwe maana hali yako hiyo!
Just do this, before you
pack your bags and leave for good from your marriage with your kids, he
is still your husband, ask him for a one month leave that should tally
with the work leave only if you are working. Hapo waweza kwenda hoteli
yoyote kutokana na uwezo wako na kama inawezekana muombe na yeye
akufinance huko enjoy with your kids na usiwe na mawasiliano na mtu
yeyote yule yaani uwe wewe tuu na watoto. Kama ni mama wa nyumbani au
mjasiriamali au umejiri na biashara zako unaweza kaa zaidi ya miezi 2,
ukiwa huko kwenye hiyo likizo waza mara mbili je unaweza kaa bila mumeo
au utaanza kummiss na kuona bora awepo hata kama ni mzigo.
Usifikiri watu wengine wanaenda kwenye harusi pamoja wamevaa wamependeza
ujue wanalea watoto na mapenzi yalishaisha siku nyingi. Wakiingia
chumbani kwao wanalala mzungu wa nne au kila mtu analala kitanda chake
na wengine vyumba tofauti kabisa ila hawaachani.
Think twice before you leave your marriage. Namuomba
BAK aje akuwekee kibao cha celine dion cha think
twice may be kitakubadili mawazo yako.
All the best mamy.
wanangu ndio kila kitu huku duniani,nitawaacha siku nimekufa!
Yaaan umemaliza kila kitu!sa hv akili mu kichwa yake!aiweke ndoa yake mikononi mwa bwanamtoa mada hiyo avatar yako unaiish kweli ama unaihubiria tu??
manake kama unaniish huo msalaba wa YESU KRISTO, ni dawa ndio mana umewekwa kwenye bomba la sindano ili kukuponya na kuponya ndoa yako.
Just do this, before you pack your bags and leave for good from your marriage with your kids, he is still your husband, ask him for a one month leave that should tally with the work leave only if you are working. Hapo waweza kwenda hoteli yoyote kutokana na uwezo wako na kama inawezekana muombe na yeye akufinance huko enjoy with your kids na usiwe na mawasiliano na mtu yeyote yule yaani uwe wewe tuu na watoto. Kama ni mama wa nyumbani au mjasiriamali au umejiri na biashara zako unaweza kaa zaidi ya miezi 2, ukiwa huko kwenye hiyo likizo waza mara mbili je unaweza kaa bila mumeo au utaanza kummiss na kuona bora awepo hata kama ni mzigo.
Usifikiri watu wengine wanaenda kwenye harusi pamoja wamevaa wamependeza ujue wanalea watoto na mapenzi yalishaisha siku nyingi. Wakiingia chumbani kwao wanalala mzungu wa nne au kila mtu analala kitanda chake na wengine vyumba tofauti kabisa ila hawaachani.
Think twice before you leave your marriage. Namuomba BAK aje akuwekee kibao cha celine dion cha think twice may be kitakubadili mawazo yako.
All the best mamy.
Mwenzenu nimeamua kuondoka kwangu,mume huyu wangu alinioa kihalali kanisani,leo nimenyoosha mikono najiandaa kuanza maisha peke yangu na wanangu,nimeshindwa,siko tayari kufa kwa ukimwi kwa kuwa sistahili,alinioa bikira na simjui mwanaume yeyote zaidi yake katika dunia hii.
Uzinzi,umalaya,matusi anayonipa,dharau,kejeli na kutokunijali vinanifanya niondoke kwangu,kuanzia leo nimedhamiria kuondoka rasmi,hata nikisikia umeoa chelenje sitakwenda kulalamika popote,kwa sababu najua utakuwa umemuoa mwanamke unayempenda,nimelia sana sasa nimeamua kufuta machozi na kusonga mbele,najua MUNGU HATANIACHA!:wave:
Jamani hebu muoneeni huruma mwenzenu hata neno la Mungu lakataza zinaa sasa kama huyo mbaba anamtafutia ukimwi kwa lazima si bora asepe tu.Yaaan umemaliza kila kitu!sa hv akili mu kichwa yake!aiweke ndoa yake mikononi mwa bwana
Hahahahahahaha umenichekesha sana lkn hapo nilipopigia mstari napenda nikutie moyo kua sio ndoa zote ndoano zipo ambazo zina raha mpaka unajiuliza kwanini hamkuoana mkiwa 18. Ni kweli zipo ndoa chungu lkn hii haihalalishi ndoa zote kua chungu , hapana. Zipo ndoa ukibahatika kuziona utatamani kuolewa/ kuoa kesho.hivi kuna wasichana bado mnaolewa na bikira siku hizi. Masikini, ndio maana unanyanyasika! Hao watu hawana maana yoyote. Hata kama bikira unayo ingiza kidole mpaka itoke. Hiyo heshima hawastahili kabisa. Ndoa zenyewe zote ni Ndoano bikira ya nn?
Hata sijui nianzie wapi, lakini naamini yawezekana umeshayatafakaria haya nitakayokuelezaMwenzenu nimeamua kuondoka kwangu,mume huyu wangu alinioa kihalali kanisani,leo nimenyoosha mikono najiandaa kuanza maisha peke yangu na wanangu,nimeshindwa,siko tayari kufa kwa ukimwi kwa kuwa sistahili,alinioa bikira na simjui mwanaume yeyote zaidi yake katika dunia hii.
Uzinzi,umalaya,matusi anayonipa,dharau,kejeli na kutokunijali vinanifanya niondoke kwangu,kuanzia leo nimedhamiria kuondoka rasmi,hata nikisikia umeoa chelenje sitakwenda kulalamika popote,kwa sababu najua utakuwa umemuoa mwanamke unayempenda,nimelia sana sasa nimeamua kufuta machozi na kusonga mbele,najua MUNGU HATANIACHA!:wave:
Vizuri, endelea hivyo hivyo na msimamo wako. Ikiwa hutojali tafuta mwingine uishi nae, maisha ya kuwa single yanahitaji moyo mgumu kama bati la South Africa.
Ha ha haa hapo kuna utata kidogo.
Mwenzenu nimeamua kuondoka kwangu,mume huyu wangu alinioa kihalali kanisani,leo nimenyoosha mikono najiandaa kuanza maisha peke yangu na wanangu,nimeshindwa,siko tayari kufa kwa ukimwi kwa kuwa sistahili,alinioa bikira na simjui mwanaume yeyote zaidi yake katika dunia hii.
Uzinzi,umalaya,matusi anayonipa,dharau,kejeli na kutokunijali vinanifanya niondoke kwangu,kuanzia leo nimedhamiria kuondoka rasmi,hata nikisikia umeoa chelenje sitakwenda kulalamika popote,kwa sababu najua utakuwa umemuoa mwanamke unayempenda,nimelia sana sasa nimeamua kufuta machozi na kusonga mbele,najua MUNGU HATANIACHA!:wave: