Wakuu msaada kuhusu utaratibu wa kupangiwa hostel za ndan ya chuo kwa wanafunzi wa DIT (level ya degree) ukoje? au nao wanawapa kipaumbele wanafunz wa first year? msaada please
Tuliapply mwezi wa tano through nacte tukaambiwa selection mwezi wa saba ikawa hola
Wakatubadilishia gia angani kutoka Gpa ya 2.7 tuliyoambiwa mwezi wa tano hadi 3.5 ambayo ni ngumu sana kuipata (hata wao walioipendekeza wengi wao hawana)
Wakala hela zetu za application na bodi ya mikopo hadi...
Wakuu, Nimechaguliwa kujiunga na chuo cha ADEM bagamoyo kwa level ya diploma, naomben msaada kwa yeyote aliyechaguliwa hapo na ameshapata Join instruction au namba ya simu ya wahusika ili tufanye utaratibu wa kuipata. Msaada wenu ni wa thaman sana katika kulifanikisha hili...Asante.
Katika updates mbalimbali walizotoa nacte walisema "kwa wale wanaotaka kubadilisha vyuo na koz wasubirie mpaka second selection zitoke watatoa taratibu juu ya watu wenye matatizo kama yako.
Jaman mim naona tunapata shida bure kufikiria yasiyowezekana, kwa mim nilivyoielewa ile tarehe 31/8 inahusu watu wa waliomba diploma na certificate ila kwa kuwa na sisi tuliomba kupitia nacte na system tunayotumia ni moja ndiyo maana hiyo tarehe imeaffect mpaka profile zetu. Na uhakika haiwezi...
Lakin tuangalieni na hiyo correction kwa mujibu wa mwalimu jibu lake ni 'zuarter' hiyo zuarter ndiyo kitu gan maana mim kwenye kayumba niliyopitia sikuwah kufundishwa kitu kama hicho halfu ndiyo tumjaji mwalimu
Kama comment zote za wadau hapo juu hujaelewa si upotezee tu? maana siyo lazima ucomment kila thread unayoiona nyingine pita pemben kwan zinakuwa hazikuhusu
Kwenye profle zetu ile sehemu waliokuwa wanaandika wait for selection sasa hivi wameimodify imekuwa 'wait for selectio wich expected to on 31st August 2016'
We ndugu yangu nadhan si mfanyaka wa serikalin wenzako kuanzia tarehe 22 wanakula jasho lao wewe ushazoea mshahara wako mpka tareh 33 hukoooo ndiyo maana unashangaa kuona walimu wanaulizia tarehe 22 ni kwa sababu wanazijua tarehe zao mkuu.
Wakuu huu uzi ni pendekezo la wadau na wapenz wa bongo fleva. Hapa tutataja wimbo/nyimbo ya/za bongo fleva za zaman unayoikubali/unazozikubali na kuiapload aka kuiweka ili kila mdau atayevutiwa aweze kuipakua kwa raha zake. Karibun sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.