Mkuu iyo "NA" inamaana gan maana siielewiWakuu Habari Zenu!
Leo Naona Kwenye Profile Yangu Ya TCU wameniandikia Hivi:-
"Now Wait for Second Selection which is Expected on 31/08/2016"
Sasa Hapa Pamenipa Wasi Wasi Wa Kuhisi Kwamba Katika First Selection Nimetupwa Nje Ya Fence!
Kwa Wale Wazoefu Hebu Nifahamisheni Je, First Selection imeshafanyika? Au Huwa Wakiandika Hivyo Wanamaanisha Nini?View attachment 386836
Mkuu iyo "NA" inamaana gan maana siielewi
Hata kwangu imeandika hivyo mkuu hili suala LA kuwa selection imefanyika si kweli cause kwa utafiti wa haraka haraka ni diploma wengi wameandikiwa hivyo, ss je selection ya kwanza imejumuisha form 6 pekee?
Jaman mim nafanya application diploma kwenda degree ila nikiweka reg. No. Wanaikataa kwamba haionekani kwenye database yao
Hivi ni kwa leo tu au tangu wiki hiihi sio kwa waombaji wa digrii tu, hata waliomba cheti wameandikiwa hivoo
tangu jumatatuHivi ni kwa leo tu au tangu wiki hii
Mkuu,Kwanza Kabisa Nikwamba Diploma Holders Wote Wameandikiwa Hivyo!
Kuna Mtu Amenipa Fafanuzi hizi mbili Kwa Sisi Dploma Holders:-
1) Aidha Ni Kwamba First Selection Ni Kwa Form Six tu! Diploma Wote Ni Second Selection.
2) Au First Selection Ni Hile Waliyofanya NACTE kwa Hule Udahili Wa Mara Ya Kwanza Ambao Wameshafanya Selection Ambayo ilizuiwa Na TCU wasiitoe, Na Huu Udahili Wa Sasahivi Ni Wa Pili Kwa Second Selection
Ndo ushatupwa nje mkuu kua mpole!!! Mwaka huu ndalichako atawanyoosha kwa kweli!!Mimi Nimeshangaa Kukuta Napelekwa Kwenye Second Selection Bila Ya Hata First Selection Kuwa Announced!! What the hell is this??
Ndo ushatupwa nje mkuu kua mpole!!! Mwaka huu ndalichako atawanyoosha kwa kweli!!
Mkuu,
Nashukuru kwa ufafanuz huo japo una walakini.
Unaposema first selection ni kwa form six tu sio kweli maana hill tatizo mm pia limenikuta na nimemaliza form six mwaka huu.
Natia mashaka na taarifa yako yote kwa ujumla
Mimi mbona diplomaa holder hawajaniandikia hivyo, na niliomba kupitia nacteKwanza Kabisa Nikwamba Diploma Holders Wote Wameandikiwa Hivyo!
Kuna Mtu Amenipa Fafanuzi hizi mbili Kwa Sisi Dploma Holders:-
1) Aidha Ni Kwamba First Selection Ni Kwa Form Six tu! Diploma Wote Ni Second Selection.
2) Au First Selection Ni Hile Waliyofanya NACTE kwa Hule Udahili Wa Mara Ya Kwanza Ambao Wameshafanya Selection Ambayo ilizuiwa Na TCU wasiitoe, Na Huu Udahili Wa Sasahivi Ni Wa Pili Kwa Second Selection