Ni kweli akijifungua atapewa 3 days za kushughulikia familia, kiukweli sababu zao ziko too weak! Mm hazijaniingia akilini kabisa, bora sababu ya majeruhi inatubidi tuamini tu! Mm nahisi kuna tatizo katika yanga, pia makocha waliopo nao siwaelewi hata kidogo. Timu inazuia mda wote hakuna mbinu...