Condom ni muhimu mno Itumike.!

Condom ni muhimu mno Itumike.!

Yani wewe badala ya kuwaasa watu wapunguze uasherati wewe unapigiria msumari wa condom
 
Naunga mkono matumizi ya condom ingawa raisi mstaafu aliwahi katwa vibao kwa kuhamasisha matumizi katika mkutano wa dini
 
Imeokoa watu wengi, na mimi nikiwemo. Ulevi na Uzinzi ni ndugu pacha, acha ulevi, acha uzinzi, muogope Mungu, lakini Ibilisi AKIKUZIDI ujanja tumia KONDOM. Ukikumbuka ulivyosalimika kutokana na Condom, nakwambia utasema uzinzi basi wala huwezi kusema ngoja nipike kazi kondomu ipo.
 
utakulaje pipi na maganda....hapa ni kavukavu yan usikilizie nyama kwa nyama zinavosuguana!!rahaaa
 
Katika pitapita zangu nimekuta watu wengi waki discourage Matumizi ya condom yaani they say its useless na wala haisaidii katika protection ya Maradhi.

Wanasema zingine Huja hata zikiwa na viini vya Magonjwa Vimepandikizwa Mle, basi wakaenda mbali zaidi wakidai condom haizuii Ukimwi yaani VVU.

Nilijikuta nawaonea Huruma sana Maana Nikikumbuka Miaka Kadhaa ilopita Niliwahi kupita na wanawake kama wa 3 ambao baadae nilijua kwamba ni confirmed positive bahati nzuri nilitumia kinga na kila nikikumbuka sichukulii Picha Ningecheza Peku yaani ungekuta ndo habari yangu imeisha.

MY TAKE: Ndugu zangu Japo Hatujawahi kuonana ila Naamini Ninyi ni binadamu kama wengine, Jamani chonde chonde tumieni condom inasaidia sana, msipotoshwe na nyuzi za hapa JF zinazodiscourage matumizi ya Kinga...wengine wameenda Mbali wakidai hazisaidii.
Kaka yenu nawashauri tenaa UKIMWI upo na Condom inazuia, Tafadhali tumieni.
Never Sex without Condom na MwanamkeMwanaume ambae Hujui Status yake.

Wakusikia na Asikie!
Asante mkuu kwa darasa la bure
 
Back
Top Bottom