babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,423
- 3,297
Kwaya za makanisa ni mahsusi kwa ajili ya kumsifu Mungu. Je? Magufuli amegeuka kuwa Mungu mpaka afikie hatua ya kutungiwa nyimbo za sifa na kwaya ya kanisa?.
Hii kwaya imetunga nyimbo kadhaa za kumsifu Magufuli mithili ya Mwenyezi Mungu ndo maana mleta hoja roho inataka kuuacha mwili.
Hii kwaya imetunga nyimbo kadhaa za kumsifu Magufuli mithili ya Mwenyezi Mungu ndo maana mleta hoja roho inataka kuuacha mwili.