Recent content by mandunda

  1. mandunda

    Dawa ya mpenzi anayekukalia kimya ni nini?

    Dawa ya moto ni moto kama umenielewa anza kupractice
  2. mandunda

    Naombeni ushauri wa biashara ya juice ya miwa, mtaji ni milioni 1-2

    Mim nakuomba hyo hela uje ujenge vyumba viwili vya kupanga vya futi kumi kwenye kiwanja changu ili uingize hela yako irudi haraka. Sent from my SM-J106H using JamiiForums mobile app
  3. mandunda

    GE2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Erick shigongo hata herufi ya kwanza ya alphabet msinambie kwamba haijambeba Sent from my SM-J106H using JamiiForums mobile app
  4. mandunda

    Ubalozi wa Marekani watoa tahadhari dhidi Corona Tanzania. Je, lini watatuacha tuishi maisha yetu?

    Hivi pompeo na makonda ni yupi yupo kwenye hatari ya kufa Sent from my SM-J106H using JamiiForums mobile app
  5. mandunda

    Hivi wanawake mna nini?

    Nimekuja natuma meseji naambiwa siwezi kuconversate na wewe
  6. mandunda

    Tabia ya kutopokea namba ngeni/namba mpya

    Mimi niwaambie ukweli chanzo cha kuanza kutopokea simu mpaka leo 1.mizinga kwa ndugu 2.mke wa mtu 3.kumlinda boss wangu ambae mtu yeyote hawezi kumpata bila mimi.. Hivo mwenye shida na mimi lazma contact isome jina kinyume na hapo lawama au matusi huwa havinikasirishi ukiyaanzsha. 4.mimi bado...
  7. mandunda

    Huu ndiyo muonekano wa kijana wangu

    Ata siamini kwakweli
  8. mandunda

    Hivi wanawake mna nini?

    Wewe dada kwa maelezo yako uliyotueleza humu mbona kama nakufahamu kutokana na huo wasifu wa mumeo na wasifu wako, changamoto hiyo hadi mwandiko wako kama nimeukariri hivi,si kwa ubaya ila ni kwa kukuheshimu tu niruhusu nije pm nijue kama ndo au wewe au nimekufananisha na wala siji kukutongoza...
  9. mandunda

    Dada yangu ana jinsia mbili

    Kinachotambulisha kama huyu ni mwanamke kumbe ni matiti piga ua galagaza
  10. mandunda

    Bandari ya Kasanga, Ziwa Tanganyika...

    2016 nilikwenda kule kasanga yani unatoka sumbawanga saa 5asubuhi unafika saa 11jion
  11. mandunda

    Raha ya ndoa upendwe na upendeke

    Ninakusanya makopo lakini mpaka saivi mwanamke nkimtongoza nkimwambia ukweli wiki haiishi ananblock.. Ndio hao uliosema
  12. mandunda

    Ukifikiria sana kuhusu ndoa unaweza usione umuhimu wake

    Wanawake yani hata umiliki dunia nzima lazima atatafuta kasoro kusudi tu aonekane yeye anaonewa hawajawahi kuridhika hawa...mimi nawaitaga wanawake ni chama cha upinzani
  13. mandunda

    Kwanini sisi wanaume huwa tunawaacha wanawake wanaotupenda kwa dhati bila kutumia nguvu nyingi?

    Wao si magwiji wa kutulazimisha tutoe matumizi na kutupelekesha mpaka mahakamani haya watushtaki na hilo la sisi kuwapiga chini pindi wakitupenda..
Back
Top Bottom