Hivi wanawake mna nini?

Hivi wanawake mna nini?

Best hujakosea naishi hivyo hivyo kuliko kabisa ili mradi hanisumbui kichwa .
TUNAHESHIMIANA .
naukimwona hutajua ni malaya anaheshima sana ni anajiheshimu.
Ila cmu zake zinaita kama dalali.
Duh, shosti una matusi ya reja reja aisee😂😂
 
Wewe dada kwa maelezo yako uliyotueleza humu mbona kama nakufahamu kutokana na huo wasifu wa mumeo na wasifu wako, changamoto hiyo hadi mwandiko wako kama nimeukariri hivi,si kwa ubaya ila ni kwa kukuheshimu tu niruhusu nije pm nijue kama ndo au wewe au nimekufananisha na wala siji kukutongoza ila ni kwa kufahamiana tu kiufupi.
 
Wewe dada kwa maelezo yako uliyotueleza humu mbona kama nakufahamu kutokana na huo wasifu wa mumeo na wasifu wako, changamoto hiyo hadi mwandiko wako kama nimeukariri hivi,si kwa ubaya ila ni kwa kukuheshimu tu niruhusu nije pm nijue kama ndo au wewe au nimekufananisha na wala siji kukutongoza ila ni kwa kufahamiana tu kiufupi.
Karibuuu
 
Pole sana katoto .
Mungu akutetee, huwezi kumbadilisha mtu tabia.
 
Wanawake ni watu wakuwaangalia kwa jicho la nyuma. Mimi nimeolewa nanina mume wangu tuko pamoja huu ni mwaka wapili tunakaribia .

Sisi tunafamily friends wetu kama nyumba 3 wote ni watu wanajiheshimu ila kuna huyu mama hana hata haya tukiwa gethering yeye humganda mume wangu nakuwa kama wake.

Simu haziachi kuita kila saa sijui anataka nini. Nikimuuliza mume wangu anasababu za hapa na pale. Unakuwa unamvumilia mtu mpaka,kumbuka kuna yule mshenzi mmoja kamchukua kabisa mume wangu ila hujua kuficha uchafu wake huwezi mnasa. Ila hadi huyu sasa anamtakia nini mume wangu mbona wao siangaiki na waume zao?

Nimechoka kabisa. Maisha haya bora usifuatilie mamboo ila ukiacha tena kutomfuatilia nakuvaa husika kama mke utachezewa sana.

Mwanamke anamuacha mumewe kazi kumganda wangu wake anamuachia nani sasa. Masaa yote baba fulani baba fulani ngoja baba fulani aje atanisaidia .

Na mume wangu huitwa tu kama pia nalo hilo. Linaenda kama zuzu, mimi kila kitu ninacho vyotee ambavyo mume anavutiwa. Ila kutwa kubadilisha wanawake bora hajajiabisha kwa wasichana wakazi.

Wewe mwanamke umeolewa unafamilia yako kutwa kuganda wanaume za watu kama huridhiki sio lazima uonyeshe mi nyege yako kwa wanaume za watu. Kuweni na haya hamtulii viben ten nyie , wazee nyie wakaka wa makamu nyie. Hivi unahimilije?

Yaani wamenichosha akili sijui huyu mume wangu wanamuonaje, yaani ni mume wangu tu watu wamgande nasio mdogo ni mzee eti. Ila baba fulani nani kila mama anamuhangaikia. Yaani siendi tena jumuia ya familia aende huko akapapaswe. Walai inaniuma sana ila sina jinsi.

Tukienda mgahawani wasichana wanamtizama kwa macho ya mahaba. Hadi manesi wananipa huduma ya haraka kisa yeye, benki na sasa hadi hardware. Yaani kila mahali nimechoka naombeni ushauri kunatime mtu anahitaji hili.
Alie elewa anifafanulie ! Uandishi gani huu jamani?
 
Pole sana katoto .
Mungu akutetee, huwezi kumbadilisha mtu tabia.
Ndioo .
Kushindwa kuishi na mume
Ni awe anakupiga .
Hakutunzi
Hakupendi
Hakuamini
Hakujali ila kama ni tabia mbaya na anafanya kwa siri basi unakubali.
 
Unakumbukumbu dah hongera alinimdhibiti nikajidhibiti
Akaniacha akaenda kwa mwingine
Poa acha mwamba na yeye adhibitike uko nje, akiachwa atatulia, ni mwendo wa bampa tu bampa
So it's your turn, relax
 
Wanawake ni watu wakuwaangalia kwa jicho la nyuma. Mimi nimeolewa nanina mume wangu tuko pamoja huu ni mwaka wapili tunakaribia .

Sisi tunafamily friends wetu kama nyumba 3 wote ni watu wanajiheshimu ila kuna huyu mama hana hata haya tukiwa gethering yeye humganda mume wangu nakuwa kama wake.

Simu haziachi kuita kila saa sijui anataka nini. Nikimuuliza mume wangu anasababu za hapa na pale. Unakuwa unamvumilia mtu mpaka,kumbuka kuna yule mshenzi mmoja kamchukua kabisa mume wangu ila hujua kuficha uchafu wake huwezi mnasa. Ila hadi huyu sasa anamtakia nini mume wangu mbona wao siangaiki na waume zao?

Nimechoka kabisa. Maisha haya bora usifuatilie mamboo ila ukiacha tena kutomfuatilia nakuvaa husika kama mke utachezewa sana.

Mwanamke anamuacha mumewe kazi kumganda wangu wake anamuachia nani sasa. Masaa yote baba fulani baba fulani ngoja baba fulani aje atanisaidia .

Na mume wangu huitwa tu kama pia nalo hilo. Linaenda kama zuzu, mimi kila kitu ninacho vyotee ambavyo mume anavutiwa. Ila kutwa kubadilisha wanawake bora hajajiabisha kwa wasichana wakazi.

Wewe mwanamke umeolewa unafamilia yako kutwa kuganda wanaume za watu kama huridhiki sio lazima uonyeshe mi nyege yako kwa wanaume za watu. Kuweni na haya hamtulii viben ten nyie , wazee nyie wakaka wa makamu nyie. Hivi unahimilije?

Yaani wamenichosha akili sijui huyu mume wangu wanamuonaje, yaani ni mume wangu tu watu wamgande nasio mdogo ni mzee eti. Ila baba fulani nani kila mama anamuhangaikia. Yaani siendi tena jumuia ya familia aende huko akapapaswe. Walai inaniuma sana ila sina jinsi.

Tukienda mgahawani wasichana wanamtizama kwa macho ya mahaba. Hadi manesi wananipa huduma ya haraka kisa yeye, benki na sasa hadi hardware. Yaani kila mahali nimechoka naombeni ushauri kunatime mtu anahitaji hili.
Hii thread uliandika ukiwa juu ya kifua cha mtu ??
 
Wanawake ni watu wakuwaangalia kwa jicho la nyuma. Mimi nimeolewa nanina mume wangu tuko pamoja huu ni mwaka wapili tunakaribia .

Sisi tunafamily friends wetu kama nyumba 3 wote ni watu wanajiheshimu ila kuna huyu mama hana hata haya tukiwa gethering yeye humganda mume wangu nakuwa kama wake.

Simu haziachi kuita kila saa sijui anataka nini. Nikimuuliza mume wangu anasababu za hapa na pale. Unakuwa unamvumilia mtu mpaka,kumbuka kuna yule mshenzi mmoja kamchukua kabisa mume wangu ila hujua kuficha uchafu wake huwezi mnasa. Ila hadi huyu sasa anamtakia nini mume wangu mbona wao siangaiki na waume zao?

Nimechoka kabisa. Maisha haya bora usifuatilie mamboo ila ukiacha tena kutomfuatilia nakuvaa husika kama mke utachezewa sana.

Mwanamke anamuacha mumewe kazi kumganda wangu wake anamuachia nani sasa. Masaa yote baba fulani baba fulani ngoja baba fulani aje atanisaidia .

Na mume wangu huitwa tu kama pia nalo hilo. Linaenda kama zuzu, mimi kila kitu ninacho vyotee ambavyo mume anavutiwa. Ila kutwa kubadilisha wanawake bora hajajiabisha kwa wasichana wakazi.

Wewe mwanamke umeolewa unafamilia yako kutwa kuganda wanaume za watu kama huridhiki sio lazima uonyeshe mi nyege yako kwa wanaume za watu. Kuweni na haya hamtulii viben ten nyie , wazee nyie wakaka wa makamu nyie. Hivi unahimilije?

Yaani wamenichosha akili sijui huyu mume wangu wanamuonaje, yaani ni mume wangu tu watu wamgande nasio mdogo ni mzee eti. Ila baba fulani nani kila mama anamuhangaikia. Yaani siendi tena jumuia ya familia aende huko akapapaswe. Walai inaniuma sana ila sina jinsi.

Tukienda mgahawani wasichana wanamtizama kwa macho ya mahaba. Hadi manesi wananipa huduma ya haraka kisa yeye, benki na sasa hadi hardware. Yaani kila mahali nimechoka naombeni ushauri kunatime mtu anahitaji hili.
Una udugu na Don Nalimison?
 
Back
Top Bottom