Dawa ya mpenzi anayekukalia kimya ni nini?

Dawa ya mpenzi anayekukalia kimya ni nini?

Kifaru86

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2017
Posts
1,734
Reaction score
3,832
Katika mahusiano kuna wakati mpenzi wako akaamua kukukalia kimya au kukuchunia bila sababu au kwa sababu zake anazozijua yeye akaamua tuu kukaa kimya hakutafuti wala nini?

Unadhani nini suluhisho la tatizo hili. Ikifikia hatua hii hebu tupeane mawazo kuna ndugu yangu kaniomba ushauli
 
Na wewe kaa kimya kwanini uumize kichwa
 
Akikaa kimya wewe piga kelele kwa kwioo ake weweeehh....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tukimaliza kutoa ushauri kwa mpenzi tuje kwa mke kununa ndani kwa mda mrefu
 
Mm baada ya demu wangu kunichunia nkamtumia video napiga punyeto ili ajue wapo wawili ila punyeto imemzidi maarifa
 
Katika mahusiano kuna wakati mpenzi wako akaamua kukukalia kimya au kukuchunia bila sababu au kwa sababu zake anazozijua yeye akaamua tuu kukaa kimya hakutafuti wala nini?

Unadhani nini suluhisho la tatizo hili. Ikifikia hatua hii hebu tupeane mawazo kuna ndugu yangu kaniomba ushauli
Unaendelea kumsemsha na kumuweka karibu, huwezi jua kakumbana na nini.. na wewe ukikaa kimya maana yake unazidi muweka kwenye utata zaidi
 
Kuanzia juzi nimeamua hii njia hata mimi maana tatizo liliopo siwez kumwambia ntajidhalilisha
So kiufupi ni njia mojawapo ya kuvunja mahusiano
 
Back
Top Bottom