Recent content by manduchu

  1. M

    Nini Kinachoendelea IMF na World Bank?

    "matajiri wapo kwa kuwa kuna masikini, ukiwatoa masikini hakutakuwa na matajiri, "
  2. M

    Wafanyabiashara wa Madini Arusha watoa Tamko zito kwa Magufuli ununuzi wa Ndege

    ndege kubwa kuliko zote afrika? i m confused.
  3. M

    Dr. Tulia achukua fomu ya kugombea Unaibu Spika CCM

    wakati mwingine ni ngumu kuielewa hii nchi.
  4. M

    Kama hii ni kweli basi sisi ni wajinga, iko siku litatugharimu

    Mvua huanza kwa manyunyu, na mbuyu pia ulianza kama mbegu ndogo, ukweli wa leo kesho waweza kuwa uongo,na kinyume chake pia. ahhaa natania tu,
  5. M

    Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    hizi safari nyingi za rais nnje ya nchi,inawezekana naye anavusha dili,
  6. M

    Sitta ahoji harambee za Lowassa Makanisani na sasa misikitini

    kelele na kulialia kwa Sitta kunamfanya Lowasa akubakike zaidi. sitta naye mnafiki tu anachangia kuiua ccm
  7. M

    Waziri wa Kenya aidharau Tanzania

    Kasema kweli tena nampongeza maana watanzania walishalala na wakiamshwa huwa wanalalamika. Unataka wakenya watupongeze kwa lipi?
  8. M

    Ushujaa wa lowasa huu apa

    Heri fisadi anayejua anataka kufanya nini kuliko, mtu safi asiyejua afanye nini,
  9. M

    Chuo cha Mtakatifu Agostino ni majanga

    nyambafu watu, tumetumia madesa afu ww uanawaza vitabu? ww ni raia kweli?
  10. M

    Maelezo ya Wizara ya Elimu kuhusu mchakato wa kurekebisha matokeo ya Kidato cha 4

    watu makini hawapimwi kwa mwonekano wa mavazi sura au vyama wanavyotoka,. mustakabali wa Taifa pia haupimwi kwa rasilimali asili zilizopo. vipimo hivi huweza toa matokeo yasiyo sahihi. nionavyo mimi umakini wa watu na taifa huweza kupimwa kwa namna watu wanavyojadiliana na mipango, yao. ndio...
  11. M

    Picha: JK kwenye ghorofa liloloporomoka

    Mheshimiwa Lowasa angekuwa na rungu , huyo mkandarasi na mkurugezi. wangekuwa wanasubiri barua za kufukuzwa kazi,
  12. M

    Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

    hapa kijijini kwetu weye maduka makubwa ni wachaga, yaani hata baa zote ni za wachaga, hawa jamaa bana. wai....
  13. M

    Hivi upinzani Ni kupinga kila kitu? Wachina kuwekeza Nchini Ni juhudi za Serikali kuvutia wawekezaji

    Kwa nchi masikini,kila jambo linalofanywa na mgeni ni sawa, hata kama hakuna uchambuzi wa kina. Ni katika nchi masikini tu ambapo watawala wanawapuuza wasomi wa ndani, na pia huwafanya wananchi wawadharau wasomi wa nchi zao. kwa kawaida watu wenye njaa hufikiria kula kwa wakati huo, wasio na...
  14. M

    Hivi upinzani Ni kupinga kila kitu? Wachina kuwekeza Nchini Ni juhudi za Serikali kuvutia wawekezaji

    Kwa nchi masikini,kila jambo linalofanywa na mgeni ni sawa, hata kama hakuna uchambuzi wa kina. Ni katika nchi hizi tu ambapo watawala wanawapuuza wasomi wa ndani, na pia huwafanya wananchi wawadharau wasomi wa nchi zao. kwa kawaida watu wenye njaa hufikiria kula kwa wakati huo, wasio na njaa...
Back
Top Bottom