Ushujaa wa lowasa huu apa

Ushujaa wa lowasa huu apa

Lowasa hana kesi ya kujibu mahali popote pale mafisadi wote kesi ziko mahakamani. Mi naamini Lowasa ni kiongozi shupavu na asiye yumbishwa. Akigombea urais 2015 nitampigia kura bila kinyongo

Tutamsimamisha babako ashindane naye !
 
i-love-to-say------T-Shirts.png
bunge.jpg


Kiboko yake....
 
Heri fisadi anayejua anataka kufanya nini kuliko, mtu safi asiyejua afanye nini,
 
sasa lowasa na yule padri wenu mwiz wa wake za watu dr Slaa nani kaoza??

Mabillioni aliyotuibia huyu Mmeru Lowassa yangetumika kununua dawa mahospitalini, mamilioni ya wake na watoto wetu wamekufa kwa kukosa hizo dawa!!!Sasa wewe mburula hiyo mbunye ya Josephine imetuathiri vipi sisi wananchi kama sio kumliwaza Dr. awe more efficient!!!
 
Back
Top Bottom