Kwa akili timilifu, kuachwa na kuacha kwenye mahusiano ni jambo la kawaida. Kwa ufupi sana, ukiachwa achika. Usilielie kama mbwa koko kakosa mtaji wa mzoga!!
Kusema ukweli kabla sijaenda kwenye hoja ya msingi napenda niseme haya:KUOA MWANAMKE WA KABILA LAKO NI RAHA SANA..Kuna mengi mazuri utaweza kuyafanya kwa pamoja na mwenza wako hasa kuhusu jamii na mahusiano yake. Mfano ndugu zako watakuwa hawana kipingamizi upande wa mawasiliano pindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.