Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
- Thread starter
- #181
Hahaahaha mkuu na wewe ulitaka uielewe hii mada au uone connection? Mada hii ngumu siyo size yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaahaha mkuu na wewe ulitaka uielewe hii mada au uone connection? Mada hii ngumu siyo size yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hotuba nzima ni hilo neno moja tu inatia wasiwasi!
Ok sawa..penye chemical weka biological....halafu unayoona inafaa ielezee alimanisha nini!?Aeleze chemical weapons ipi? Inawezekana hata wewe huelewi unazungumzia nini
Anyway kwa sisi ngumbaru biological weapons ndio chemical weapons?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂yaani daaaahnimecheka sana yaaani hata aliyoongea hayaendani na mkutano..eti anachukia neno demokrasia hata wanaohubili demokrasia kwao haipo,eti hata katiba mpya haina haja kwani na wao hawana katiba mpya yaaani huyu kijana atawaabisha sana kwenye mikutano ya aina hii asipewe nafasi ya kuongea
Maskini!Ni hotuba zinazoendelea katika mkutano wa Kimataifa wa Madini. Kama mtanzania, hili haliko sawa sana ukizingatia sisi ndo wenyeji.
Wageni wanataraji kunywa, kula, kustarehe na kulala hapa kwetu. Kwa kauli hii, si vyema tuitoe sisi wenyeji. Inaashiria kama vile tuna uzoefu fulani na hizo "biological weapons".
labda alimaanisha covid19Huyu Kilaza jamani. Eti Biological weapons. Anajua hata maana yake ?Au ndo kina lemutuz wanamdanganya ?Tanzania ikipigwa biological weapon wote tutaisha.