TAZARA tunajua biashara yenu ya city train imeibinafsha kwa lengo la kukwepa May be ghalama za uendeshaji
Tickets zenu zina expire time lkn Hawa mliowapa Kazi ya kuuza ticket wanacharge kituo hadi kwa kigezo unageuza nalo
Mfano ukipanda magnus wakati linaenda mwakanga unatakiwa ulipe 1000/-...
Kuridhishwa na utendaji na kubadili imani yako kuna uhusiano gani?
Haya mambo yananikanganya ila hata siku moja mtu akisema nahamia uislam nimerodhishwa na utendaji wa mashekh au nahamia ukristo nimeridhishwa na utendaji wa maaskofu
Alichosema hapa ni kweli ila Tanzania politician acha tu waitwe wana siasa
Nilikuwa na mapenzi ya dhati act lkn now nikimuona mwl mwenye level ya PhD na mwanasheria aliepata nafasi ya kugombea cheo cha juu nchini
Napatwa na maswali mengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.