- Thread starter
- #301
Umeona eee,asanteHajakwambia ameshindwa kulea! Anataka mume bwana
Umeona eee,asanteHajakwambia ameshindwa kulea! Anataka mume bwana
Unanifurahisha my,,nisaidie tu dearNae damu inachemka! Wewe huoni anakosa vitu vya msingi
NeverSifa zote ninazo ila nina mke labda kama utakubali kuwa wa pili.
HapanaMimi nilishaoa Ila nataka mke wa pili je uko tayari.?
Habari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Who told you that??,shame on you,,uwe na heshima japo kidogo...tatizo walimu chupi mkononi!
...duh!unabisha tena wakati wewe mwenyewe tu chupi mkononi!Who told you that??,shame on you,,uwe na heshima japo kidogo
Thibitisha........duh!unabisha tena wakati wewe mwenyewe tu chupi mkononi!
..sasa si ungekuja tu na id hii toka mwanzo?Thibitisha.....
Hongera kwa kuwa mkweli.Nitakudanganya,,alikuwepo
VP ulishapata?Habari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Acha utoto........kumdhalilisha mwalim ni sawa na kumtukana mzazi wako...... Tafakari na ujidharau........sasa si ungekuja tu na id hii toka mwanzo?
...teh hee heeAcha utoto........kumdhalilisha mwalim ni sawa na kumtukana mzazi wako...... Tafakari na ujidharau......
By the way..... Hii ni ID yangu nnayo tumia kila siku kama unatafuta wa kubishana nae nenda hospital za vichaa..... Maana nahisi umetoroka wodini
...teh hee hee
..yuleyule 'chupi kwenye msumari',
."nitombe nikale!"