tiper? tulikuwa tunapata lami hapa hapa na mafuta bei poa. kiwanda cha ngozi na magunia moshi wacha tz itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno.....!!!!
Akumbuke alivyofukuzwa muhimbili alilelewa na wachagga ashukuru mkwewe Mungu amrehemu aangalie sana mkewe katoka Hai kwa Mbowe asije akakosa njia ya kufika kwa wakwe.
Mtapeli alieshindikana huyo,madeni chungu nzima anaishi kama digidigi. Kwanza arudishe hela za NGO aliyokuwa anasimamia upanga jengo la EMAU. MBOWE kamlipia madeni mpaka kamchoka. Anaishi kinyumba na tapeli aliemharibia maisha anatafuta pa kujishikiza. Njaaaaa hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.