Recent content by manchesterunited

  1. M

    Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu, akamatwa na Polisi kwa kosa la Uchochezi

    Hivi naomba kuulizwa wakuu huyu salum mwalimumalishinda ubunge au alishindwa
  2. M

    Baraza la Mawaziri bora la muda wote Tanzania

    Viwanda na biashara joseph clement rwegasira
  3. M

    Kuendelea na masomo 2016/17

    Naomba msaada mimi nina dde pcm naweza apply university mlimani na nikaaply mkopo nisaidieni?
  4. M

    Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

    Ushauri nimrmaliza form six Nimepata physics d,chemistry d na math e je naweza apply udsm?
  5. M

    NATAFUTA GARI MARK X

    Gali nzuri mark x rivas inakuonyesha kila kitu ukiwa unarudi nyuma
  6. M

    Tujadili, Tangazo la biashara la Coca cola "onja msisimko"

    JAMANI waandishi wa hapa bongo hawana ubunifu sasa mimi Nawapa kitu cha ubunifu hivi ukifika Air port arrival nani anajua kwamba alarm Za Magali huwa hazifanyi kazi vizuri ukitoka pale zinafanya jaribu siku mojamukilock mlango alarm Inakataa jaribu siku moja halafu mtupe Mrejesho jpili njema
  7. M

    Tujadili, Tangazo la biashara la Coca cola "onja msisimko"

    Kwa kweli hata mimi linanikunGa hilo tangazo ni la kawaida ila Ndio Mambo tunayoyaishi ni ubunifu hapa watu wa marketing Wajifunze Na Nadhani wamelipata south africa
  8. M

    Nauza rav4 milioni 8.5

    Inaonekana vizuri sana imesimama mwenye kununua hii ni gali spare zipo ila atwambie km ngapi mpaka sasa
  9. M

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    We ndio hujui unakokwenda sisi tunaona anatupeleka pazuri sana asante mzee magufuri mafisadi wanaanza kulia hawaelewi pa kushika
Back
Top Bottom