JAMANI waandishi wa hapa bongo hawana ubunifu sasa mimi
Nawapa kitu cha ubunifu hivi ukifika
Air port arrival nani anajua kwamba alarm
Za
Magali huwa hazifanyi kazi vizuri ukitoka pale zinafanya jaribu siku mojamukilock mlango alarm
Inakataa jaribu siku moja halafu mtupe
Mrejesho jpili njema
Kwa kweli hata mimi linanikunGa hilo tangazo ni la kawaida ila
Ndio
Mambo tunayoyaishi ni ubunifu hapa watu wa marketing
Wajifunze
Na
Nadhani wamelipata south africa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.