Kiongozii me naona bado mapema sana kwa career yako ulioitafuta kwa miaka kama 7 afu kuitosa kwa ajili ya mshahara mdogo sidhan bado kuna firm nyingi hata kama unataka kujiajirii angalia wazo ambalo utaweza kuliendesha hata ukipata chance nyingine ya kazi...iyo 2milions wekeza ila bado pigania...
Huwajui hao unao watetea ndio mana mpka hapo nimegundua ni mtu usiyeweza kusimamia misimamo yako yyte ile sitaki kuchambua mambo ya magufuli ila hao kina chavez na mugabe umeropoka hujui ukwel fanya uchunguzii juu ya mabeparii ni kina nan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.