chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,788
- 28,032
Mugabe wakati anaivuruga Zimbabwe ,alishangiliwa na kusifiwa sana kwa kuitwa shujaa,kila aliyemuonya alionekana mbaya,leo tunavuruga uchumi kwa sababu za kupika na tena zinapikwa na wanasiasa,tunasahau kwamba robo ya mapato au karibu robo ya mapato ya TRA hutoka ACACIA(kwa mwaka),hatuangalii kesho tutapata dawa hospitali na tumeamua kutofata utaratibu wa sheria ili maisha yaendelee,nchi imehamishiwa kwenye TV.
Hugo Chavez naye wakati anavuruga uchumi wa Venezuela alishangiliwa sana,leo hata chakula hakuna katika nchi hiyo!
Akina kambona wakati wanaupinga ujamaa,walionekana wabaya sana mpaka baadae Nyerere alipoona ujamaa ni mfumo mfu, akarudi kwenye ubepari ulioungwa mkono na kambona,lakini kipindi hicho kambona aliimbwa kwa kila jina baya, nchi ikafilisika watu wakawa masikini kwelikweli,
Hata leo, tunaibomoa nchi huku tukishangilia,tutayaona matunda ya kuibomoa nchi hii ndani ya miezi michache ijayo,kama tulivyoona pale bandarini,kwenye sukari na sekta nyingine na mpaka sasa kuna baadhi ya ofisi za umma hasa dispensary,zimebaki na wafagizi tu,watumishi wengine tumefukuza
Hugo Chavez naye wakati anavuruga uchumi wa Venezuela alishangiliwa sana,leo hata chakula hakuna katika nchi hiyo!
Akina kambona wakati wanaupinga ujamaa,walionekana wabaya sana mpaka baadae Nyerere alipoona ujamaa ni mfumo mfu, akarudi kwenye ubepari ulioungwa mkono na kambona,lakini kipindi hicho kambona aliimbwa kwa kila jina baya, nchi ikafilisika watu wakawa masikini kwelikweli,
Hata leo, tunaibomoa nchi huku tukishangilia,tutayaona matunda ya kuibomoa nchi hii ndani ya miezi michache ijayo,kama tulivyoona pale bandarini,kwenye sukari na sekta nyingine na mpaka sasa kuna baadhi ya ofisi za umma hasa dispensary,zimebaki na wafagizi tu,watumishi wengine tumefukuza