Taifa limegawanyika kuhusu UKUTA

Taifa limegawanyika kuhusu UKUTA

Hivi kumbe huu UKUTA ni kitu real hahaha natamani sana lakini kwa mazoezi yale no way nitajikalia tu niangalie makamanda wakifanya yao,
 
UKUTA utadhihirisha nguvu ya umma na sio dola,hawana kitu hawa magamba na hivi sasa chama cha magamba ccm hakishikiki kuna majungu na kujikomba kwingi kwa magufuli,kibaya zaidi magufuli mwenyewe haambiliki hata kidogo,kinana alimwambia tengua kauli kuhusu mikutano ya kisiasa nchini kagoma na kinana kamwachia gurudumu hivyo hivi sasa mwenyekiti yeye,katibu yeye,na kaimu wa nafasi zote mbili ni yeye na yule ole sendeka yuko hatiani kuchomolewa na magu kuvaa tena na uenezi taifa.wataisoma namba wenye wimbo wao sisi wimbo wetu ukuta una supporters wengi kweli mpaka mawaziri wa magamba.
#NikoTayariKwaUKUTA sep 1.
 
Bahati nzuri mliowengi mnaoenda against na UKUTA mpo mbali tungekuwa mtaa mmoja ningeenda kuwachokoza polisi hiyo tarehe 1 ili tupigwe wote na familia yako.
 
maandalizi ya polisi ni mithiri ya kutaka kutawanya nyuki kwa kutumia manati!
 
Serikali imekuza mambo. Wangewapuuza chadema yasingefika huku yalipo.
Kikwete aliweza ila kwa John hapana.
You are absolutely right! Jambo dogo limekuzwa saana. Magufuli alikuwa ana support kubwa saana ya wananchi kwa ujumla, pamoja na wapinzani. Angeendelea na azma yake ya kuondoa mafisadi, kuleta viwanda, elimu bure, nk. Sasa wananchi wote, wanao mkubali na wasiomkubali, UKUTA ndio imekua agenda ya nchi. He lost political capital which is hard to get.
 
Kwa kikwete suala la UKUTA angesema "ni upepo tu utapita". Basi watu wangetabasamu na maisha yangeendelea.
Huyu wa sasa pamoja na maombi yote tuliyomwombea anataka kutumia risasi na mabomu kwa jambo dogo. Simwombei tena hana imani ya upendo bali ya ubinafsi, yaani mungu amuone yeye tu.
 
Vijana tuache hayo. ...wenzetu wameshakula chumvi nyingi. ..wakiugua wanaenda kutibiwa nje. ..je wewe? Hao Viongozi watupe mashamba tukalime huo ndiyo utakuwa ukuta wenye mafanikio. ..
 
You are absolutely right! Jambo dogo limekuzwa saana. Magufuli alikuwa ana support kubwa saana ya wananchi kwa ujumla, pamoja na wapinzani. Angeendelea na azma yake ya kuondoa mafisadi, kuleta viwanda, elimu bure, nk. Sasa wananchi wote, wanao mkubali na wasiomkubali, UKUTA ndio imekua agenda ya nchi. He lost political capital which is hard to get.

Tusubiri tuone mwisho wake.
 
Huu mpambano mwisho wake ni maafa tu.Tusubiri labda mungu atende miujiza.
 
Chadema wana mprovoke na yeye anajaa mazima.
Siamini kama kutakuwa na maandamano, ila serikali ipo kwenye tension ya kitu wasichokifahamu.
Yaah hata mimi naamini hivo, kwa kuachilia hii tension iendelee imewapa watu amsha amsha na nna uhakika kuna maeneo kama arusha na mbeya kuna possibility kubwa ya watu kuandamana
 
Si watu wengi wanaoweza kuona hatari iliyopo tarehe 1 september
bila kujali maandamano yatakuwepo au hayatakuwepo.
Watu wanashabikia bila kujua.
Chukulia wenye maduka wakiogopa wasilolijua
wakaamua kutofungua maduka yao.
vivyo hivyo wenye daladala wakaamua magari yao
yapumzike siku hiyo kuepuka uhalibifu
kwa sababu polisi wakiwaandama waandamanaji
wakakimbilia kwenye daladala,kitakachofuata kinafahamika.

Kama wewe ni mfanyakazi na una kagari kamkopo
siku hiyo utakawaweka barabarani wakati hujui litakalotoke?
au ndo watu watawaona madaktari mapema kuomba EDs?

Natamani hekima itumike,kuondoa tension kwa wananchi
ili siku hiyo tukubaliane kwamba hakuna maandamano.
mioyo yetu iwe na amani.
Nijuavyo mimi polisi wakianza kupiga
hata kama wewe ulienda sokoni kwa issue zako
utajikuta lupango.
 
Binafsi natamani hiyo Septemba 1 ingekuwa hata leo. Watanzania tumechoshwa na udikteta. Yaani nchi inaongozwa kama familia ya baba mwenye mke na watoto wawili!?
 
Taifa halijagawanyika, ila linachambua wanafiki ili wakaozee jela, wengine wavunjwe viuno. Linachambua ili tubaki na wapenda maendeleo
 
Back
Top Bottom