watoto wa siku hizi
mwananngu kuna kitu alikua ananiambia
sikumuelewa nikamwambia unasemaaa? yaani kama nauliza aseme vizuri sikumuelewa
akasema "its beyond ur knowledge level..never mind"
akanyamaza
yaan tangu juzi namtafakari
unafananishwa
au unajifananisha???
acha shobo
umeona nakufata kwenye coment popote au wewe ndo unanifata fata kila mara??
embu kaa kwa kutulia binti
punguza speeed
kama yako huiombi ukiona unaiomba sio yako
kama id tu inakutetemesha huyo bwana sio wako
mpuuzi wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.