Mahusiano yamekuwa magumu Sana hasa Kwa vijana wengi tunaojitafuta imefika mahala ukiwanampenz huwez kufanya mamb yakimaendeleo kutokana na swala lakutegemewa Kwa kila kitu ,unaombwa Hela mpaka unaamua uyakumbie mahusiano yenyew , wanawake tatizo Nini mnahitaj mapenz au pesa???
And that's why life span inazidi kupungua itafika muda mtu ukifkisha miak 40 we nibabu tayar Yan uwaze mapenz ,umeme,maji ,familia natozo juu miaka 70 tutaiskia tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.