Mamour Ameer
Member
- Sep 19, 2022
- 19
- 12
Mahusiano yamekuwa magumu Sana hasa Kwa vijana wengi tunaojitafuta imefika mahala ukiwanampenz huwez kufanya mamb yakimaendeleo kutokana na swala lakutegemewa Kwa kila kitu ,unaombwa Hela mpaka unaamua uyakumbie mahusiano yenyew , wanawake tatizo Nini mnahitaj mapenz au pesa???