Msingi kuchimba na kujenga wakikugonga sana 800,000/= Kuinua Boma 2,000,000/= Renter 1,000,000/= Hivyo Ghalama zita kuwa kati ya 3.5m -5m.
Chini ya 3.5m Kazi itakuwa hovyo zaidi ya 5m umepigwa.
Inaonekana ulikuwa unamwibia mwajili wako bila mahesabu ukiwaza kumalizia nyumba yako. nijuavyo mimi nyumba ni choo. madamu ushachimba choo tafuta bati used hezeka chumba na sebre hamia kwako mishe zingine zitakukuta hapo hapo
Wanachomaanisha wasemaji kama nimewaelewa Simba na Chui unaweza kukutana naye kama hana njaa au stress akakukaushia. Ila huyu mdudu ni kama asidi hana sababu. ukikutana naye piga sara ya mwisho haijalishi umemchokoza ana njaa hana njaa yeye anatamani awe pekeake pasiwe na kiumbe mwingine karibu...
Nikadhani umekuja na utafiti wa kisanyansi juu ya athari za tabia hizo kumbe unakwazika na tamaduni ya kiafrica maana hiyo siyo tabia ni tamaduni. nashauri uhamie zimbabwe.
Ist used ya japani 10.5m unaagiza na kuitoa bandarini. ila wewe ukaona 8m tofauti ni 2.5m ukaina umesave kweli kweli. vya bahiri uliwa na nyenyere. uliruka mkojo ukakanyaga nyaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.