Midozenj01
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 410
- 385
Wakuu,
Mimi nilichaguliwa UDSM course ya TEXTILE DESIGN ila sikuikubali kiufupi nikahamia DIT kusoma LABORATORY.
Sasa mkopo wangu umehama fresh ada na kila kitu nilikuwa naomba muongozo kwa anayejua hizi mishe kuhusu.
1.Pesa ya special faculty kule UD ilikuwa 85K so huku nukakuta 300K, Je inawezekana nikafatilia ikaongezeka?
Na kama possible nianzie wapi?
2.Najua hiki ni kama kijiji ningependa kujuzwa kwa wale ma LAB SCIENTISTS walotangulia vipi job zipo huko?
Ahsanteni naomba kuwasilisha.
Mimi nilichaguliwa UDSM course ya TEXTILE DESIGN ila sikuikubali kiufupi nikahamia DIT kusoma LABORATORY.
Sasa mkopo wangu umehama fresh ada na kila kitu nilikuwa naomba muongozo kwa anayejua hizi mishe kuhusu.
1.Pesa ya special faculty kule UD ilikuwa 85K so huku nukakuta 300K, Je inawezekana nikafatilia ikaongezeka?
Na kama possible nianzie wapi?
2.Najua hiki ni kama kijiji ningependa kujuzwa kwa wale ma LAB SCIENTISTS walotangulia vipi job zipo huko?
Ahsanteni naomba kuwasilisha.